Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Friday, April 28, 2017

Papa Francis na ziara ya saa 27 Cairo

Papa Francis akisalimia na Abdel Fatah al-Sisi baada ya kuwasili Papa Francis akisalimiana na Sheikh Ahmed al-Tayeb Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, amewasili katika Chuo Kikuu cha Al-Azhar nchini Misri, kinachotambuliwa kuwa kituo kikuu cha elimu kwa...

Tuesday, April 25, 2017

Wafanyakazi Wagonjwa wa muda mrefu Rufaa Mbeya wapata msaada

Wanamtandao walipozuru mojawapo ya nyumba ya Mfanyakazi wa Hospitali ya Kanda Rufaa Mbeya kumjulia hali baada ya utaratibu wa kuwatembelea kuanzishwa na Mkurugenzi wa Hospitali hiyo Dkt. Godlove Mbwanji. Katika kuhakikisha kuwa wagonjwa wa muda mrefu wanapata faraja, Umoja...

Cheyo: Muungano unapaswa kuimarishwa

John Cheyo Mbunge wa zamani Bariadi Mashariki John Cheyo amesema ipo haja kwa Serikali kuboresha baadhi ya mambo ambayo yanaonekana kuwa ni kero kwa jamii  kwenye maeneo ya  Bara na Visiwani Zanzibar  ili kuimarisha Muungano. Cheyo amesema katika kipindi...

Friday, April 14, 2017

Miaka mitatu tangu kutekwa kwa Chibok Girls

MAIDUGURI, NIGERIA Chibok Girls Leo imetimia miaka mitatu kamili tangu kundi la kigaidi la Boko Haram lilipowateka wasichana zaidi ya 270 kutoka shuleni kwao katika kijiji cha Chibok kaskazinimashariki mwa Nigeria. Katika idadi hiyo, wasichana kadhaa walifanikiwa kutoroka...

Tuesday, April 11, 2017

Wanamtandao waunga mkono juhudi za Dkt. Mbwanji Mbeya

Wanamtandao katika picha ya pamoja wakati wa kupeleka mifuko 11 ya saruji kwa ajili ya kuunga mkono juhudi za Dkt. Mbwanji Wahenga walisema Uchungu wa Mwana Ajuaye Mzazi, pia wahenga hao walisema Umoja ni Nguvu; hii imejidhihirisha kwa Mkurugenzi wa Hospitali ya Kanda ya...

Saturday, April 1, 2017

Said Makora atupiwa lawama na madaktari

BAADHI ya Madaktari wa Idara ya Kinga na Elimu ya Afya kwa Jamii Muhimbili, wamemlalamikia Kaimu Mkurugenzi, Said Makora kwamba hana uwezo wa kuongoza kitengo hicho kwa vile hana uwelewa wa fani ya Afya. Mwenyewe ajibu, kuwa hata Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee...