
Friday, April 28, 2017
Papa Francis na ziara ya saa 27 Cairo

Papa Francis akisalimia na Abdel Fatah al-Sisi baada ya kuwasili
Papa Francis akisalimiana na Sheikh Ahmed al-Tayeb
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, amewasili katika
Chuo Kikuu cha Al-Azhar nchini Misri, kinachotambuliwa kuwa kituo kikuu cha
elimu kwa...
Tuesday, April 25, 2017
Wafanyakazi Wagonjwa wa muda mrefu Rufaa Mbeya wapata msaada

Wanamtandao walipozuru mojawapo ya nyumba ya Mfanyakazi wa Hospitali ya Kanda Rufaa Mbeya kumjulia hali baada ya utaratibu wa kuwatembelea kuanzishwa na Mkurugenzi wa Hospitali hiyo Dkt. Godlove Mbwanji.
Katika kuhakikisha
kuwa wagonjwa wa muda mrefu wanapata faraja, Umoja...
Cheyo: Muungano unapaswa kuimarishwa
John Cheyo
Mbunge wa zamani Bariadi Mashariki John Cheyo amesema ipo haja kwa
Serikali kuboresha baadhi ya mambo ambayo yanaonekana kuwa ni kero kwa
jamii kwenye maeneo ya Bara na Visiwani Zanzibar ili kuimarisha Muungano.
Cheyo amesema katika kipindi...
Friday, April 14, 2017
Miaka mitatu tangu kutekwa kwa Chibok Girls

MAIDUGURI, NIGERIA
Chibok Girls
Leo imetimia miaka mitatu kamili tangu kundi la kigaidi la Boko Haram
lilipowateka wasichana zaidi ya 270 kutoka shuleni kwao katika kijiji cha
Chibok kaskazinimashariki mwa Nigeria.
Katika idadi hiyo, wasichana kadhaa walifanikiwa kutoroka...
Tuesday, April 11, 2017
Wanamtandao waunga mkono juhudi za Dkt. Mbwanji Mbeya
Wanamtandao katika picha ya pamoja wakati wa kupeleka mifuko 11 ya saruji kwa ajili ya kuunga mkono juhudi za Dkt. Mbwanji
Wahenga walisema Uchungu wa Mwana Ajuaye Mzazi, pia wahenga hao
walisema Umoja ni Nguvu; hii imejidhihirisha kwa Mkurugenzi wa Hospitali ya
Kanda ya...
Saturday, April 1, 2017
Said Makora atupiwa lawama na madaktari

BAADHI ya Madaktari wa Idara ya Kinga na Elimu ya Afya kwa Jamii
Muhimbili, wamemlalamikia Kaimu Mkurugenzi, Said Makora kwamba hana uwezo wa
kuongoza kitengo hicho kwa vile hana uwelewa wa fani ya Afya.
Mwenyewe ajibu, kuwa hata Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,
Wazee...