Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Wednesday, October 30, 2024

Kuelekea Uchaguzi Serikali za Mitaa 2024: DC Twange ataka kampeni za siasa zinazozingatia Sheria

Mkuu wa Wilaya ya Hai Lazaro Twange akizungumza na waandishi wa Habari Ofisi kwake, katika mji wa Mdogo wa Bomang'ombe.(Picha na; JAIZMELA)Mkuu Wa wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro Lazaro Jakob Twange amewataka wanasiasa watakaonza kampeni kuelekea uchaguzi Wa serikali za mitaa ...

Tuesday, October 29, 2024

FITI kitovu cha ajira kwa Vijana Tanzania

Chuo cha Viwanda vya Misitu Tanzania (FITI) kinaendelea kufanya kazi ya kutoa mafunzo ya kiufundi na kitaaluma katika sekta ya misitu, huku kikijitahidi kukidhi mahitaji ya soko la ajira na kuboresha ujuzi wa wafanyakazi.Tangu kuanzishwa kwake mnamo mwaka 1976 FITI, kimekuwa...

Sunday, October 27, 2024

Segule Segule: Wananchi wa Rau, acheni shughuli za Kibinadamu kuponya kingo za mto

Mkurugenzi wa Bodi ya Maji, Bonde la Mto Pangani Segule Segule (kushoto) akiteta jambo na Diwani wa Kata ya Mji Mpya Abuu Shayo. (Picha na JAIZMELA)Mkurugenzi wa Bodi ya Maji Bonde la mto Pangani Segule Segule ameonya na kuwataka wananchi kuacha shughuli za kibinadamu zinazoharibu...

Waziri Mkuu Majaliwa aagiza Watu wenye Ulemavu kutambulishwa Serikalini

Serikali nchini imewataka wazazi na walezi kutowaficha watu wenye ulemavu na wanatakiwa kuwatoa na kuwatambulisha kwa serikali ili waweze kupata huduma muhimu na stahiki .Waziri Mkuu nchini Mhe.Kasim Majaliwa Majaliwa ameyasema hayo Mkoani Kilimanjaro wakati akifunga Maadhimisho...

Friday, October 18, 2024

Unamfahamu Luteni Kanali Paul-Henri Sandaogo Damiba?

Paul-Henri Sandaogo Damiba ni kiongozi wa kijeshi kutoka Burkina Faso ambaye alikamata madaraka baada ya mapinduzi ya kijeshi mwaka 2022. Kabla ya kuwa kiongozi, alikuwa afisa wa jeshi na alihusika katika masuala ya usalama nchini. Damiba  alipinduliwa na Ibrahim Traoré....

Ibrahim Traore, Rais mdogo zaidi duniani

 UTANGULIZIIbrahim Traoré ni kiongozi wa kisiasa na mkoa wa kijeshi kutoka Burkina Faso. Alijulikana sana baada ya kuongoza mapinduzi ya kijeshi mwaka 2022, ambapo alichukua madaraka kutoka kwa serikali iliyokuwa inakabiliwa na changamoto za usalama. Anafahamika kwa msimamo...

Saturday, October 12, 2024

Kwanini Azania Bank imekubali kudhamini Ligi ya Mkoa wa Kilimanjaro?

Udhamini katika soka una maana ya makubaliano kati ya mdhamini (kama vile kampuni au shirika) na timu, ligi, au tukio fulani la soka ambapo mdhamini hutoa fedha au rasilimali nyingine kwa ajili ya kusaidia shughuli za soka. Kwa upande wake, mdhamini hupata faida, kama vile:...

Saturday, October 5, 2024

Kahawa Festival 2024 kusaidia wakulima kupata mbinu mpya

Mkurugenzi wa Bodi ya Kahawa Tanzania (TCB), Primus Kimaryo, akitoa maelezo kuhusu kahawa kwa mgeni rasmi wa ufunguzi wa Kahawa Festival 2024 msimu wa tano mnamo Septemba 4, 2024; Mkuu wa Wilaya ya Moshi James Kaji. Ufunguzi huo umefanyika katika Kiwanda cha Kukoboa Kahawa (Coffee...