
Saturday, August 31, 2024
Chuo cha Montessori, Ushirika wa Neema, Moshi chaadhimisha miaka 154 ya kuzaliwa
By JAIZMELAAugust 31, 2024AFRIKA, KIMATAIFA, KITAIFA, MAKALA, MAKALA NA SIMULIZI, MAKTABANo comments

Maria Tecla Montessori, 1870-1952 (Picha na Mtandao/Luce) “Niliondoka Italia
mnamo mwaka 1934, wakati ambao shule zote nilizoanzisha zikiwa zimefungwa,
Niliishi uhamishoni barani Ulaya mpaka mwaka 1939 na baadaye nikaenda kuishi
nchini India kwa miaka saba (7) kwa miaka...
Friday, August 30, 2024
Wednesday, August 28, 2024
Wamajumuhi wa Afrika mjini Moshi waadhimisha kuzaliwa kwa Marcus Garvey (1887-1940)

Marcus Garvey (1887-1940) Wamajumuhi wa Afrika mjini Moshi wameadhimisha miaka 137 ya
kuzaliwa kwa Mwanaharakati wa Haki za Watu Weusi Marcus Garvey.
Maadhimisho hayo yamefanyika mjini Moshi mkoani Kilimanjaro
mnamo Agosti 17, 2024 yakiwaleta pamoja wamajumuhi wengine...
Wednesday, August 21, 2024
Dream Maker, Betpawa yatimiza ndoto ya Eric Salema kupata Kisima cha Maji Makiwaru

Kijiji cha
Makiwaru kimepata Maji ya Kisima kwa
ajili ya shughuli za kila siku ikiwamo matumizi ya ndani kama kupika, kuoga,
kufua na kadhalika.
Changamoto ya muda mrefu imefikia ukomo baada ya kijana mwenye umri wa miaka 26
anayefahamika kwa jina la Eric...
Friday, August 9, 2024
Afariki Dunia akijaribu kuokoa simu kisima cha mafuta Moshi
Kijana aliyefahamika kwa jina la Shalom Tarimo (21) amefariki Dunia Leo adhuhuri wakati akifanya Usafi katika kituo cha Mafuta cha Uhuru Peak mjini Moshi mkoani KilimanjaroTarimo ambaye alikuwa kijana wa kazi amefariki Dunia kwa kutumbukia kwenye kisima cha mafuta wakati akijaribu...
Mchungaji aliyefariki kwa ajali Kimashuku Moshi kuzikwa leo

Aliyekuwa Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kimashuku Kantante Munisi (42) wilayani Hai mkoani Kilimanjaro anatarajia kuzikwa hii leo na umati wa watu waliokusanyika kwa ajili ya kumsindikiza marehemu huyo, kijijini kwao Kisamo,...