Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Saturday, August 31, 2024

Chuo cha Montessori, Ushirika wa Neema, Moshi chaadhimisha miaka 154 ya kuzaliwa

Maria Tecla Montessori, 1870-1952 (Picha na Mtandao/Luce) “Niliondoka Italia mnamo mwaka 1934, wakati ambao shule zote nilizoanzisha zikiwa zimefungwa, Niliishi uhamishoni barani Ulaya mpaka mwaka 1939 na baadaye nikaenda kuishi nchini India kwa miaka saba (7) kwa miaka...

Friday, August 30, 2024

Jaizmela, katika muonekano mpya

&nb...

Wednesday, August 28, 2024

Wamajumuhi wa Afrika mjini Moshi waadhimisha kuzaliwa kwa Marcus Garvey (1887-1940)

Marcus Garvey (1887-1940) Wamajumuhi wa Afrika mjini Moshi wameadhimisha miaka 137 ya kuzaliwa kwa Mwanaharakati wa Haki za Watu Weusi Marcus Garvey. Maadhimisho hayo yamefanyika mjini Moshi mkoani Kilimanjaro mnamo Agosti 17, 2024 yakiwaleta pamoja wamajumuhi wengine...

Wednesday, August 21, 2024

Dream Maker, Betpawa yatimiza ndoto ya Eric Salema kupata Kisima cha Maji Makiwaru

 Kijiji cha Makiwaru  kimepata Maji ya Kisima kwa ajili ya shughuli za kila siku ikiwamo matumizi ya ndani kama kupika, kuoga, kufua na kadhalika. Changamoto ya muda mrefu imefikia ukomo  baada ya kijana mwenye umri wa miaka 26 anayefahamika kwa jina la Eric...

Friday, August 9, 2024

Afariki Dunia akijaribu kuokoa simu kisima cha mafuta Moshi

Kijana aliyefahamika kwa jina la Shalom Tarimo (21) amefariki Dunia Leo adhuhuri wakati akifanya Usafi katika kituo cha Mafuta cha Uhuru Peak mjini Moshi mkoani KilimanjaroTarimo ambaye alikuwa kijana wa kazi amefariki Dunia kwa kutumbukia kwenye kisima cha mafuta wakati akijaribu...

Mchungaji aliyefariki kwa ajali Kimashuku Moshi kuzikwa leo

Aliyekuwa Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kimashuku Kantante Munisi (42) wilayani Hai mkoani Kilimanjaro anatarajia kuzikwa hii leo na umati wa watu waliokusanyika kwa ajili ya kumsindikiza marehemu huyo, kijijini kwao Kisamo,...