| Diwani wa Kata ya Korongoni, Moshi, Bi. Heavenlight Kiyondo akiwa na mjukuu wake nyumbani kwake. Diwani huyo amekuwa mstari wa mbele kuwahamasisha wanawake na vijana kwenda kukopa katika Halmashauri mikopo isiyo na masharti magumu ili kujiepusha na mikopo itakayowapeleka kwenye mateso wakati wa kuirudisha. Julai 1, 2024 Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilisema itaanza tena kutoa mikopo hiyo katika halmashauri zote nchini. (Picha na JAIZMELA). |
0 Comments