Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Saturday, September 23, 2023

LIGI YA KIKAPU KILIMANJARO 2023: MOCU watwaa ubingwa, watoa MVP

 MOSHI, TANZANIA. Timu ya Kikapu ya Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MOCU) imetwaa ubingwa wa Ligi ya Mkoa wa Kilimanjaro baada ya kuibamiza Wakuda  kwa pointi 100-82 katika mchezo wa fainali uliochezwa katika dimba la Ushirika mjini Moshi. Katika mchezo huo wa fainali...