Thursday, September 28, 2023
Saturday, September 23, 2023
LIGI YA KIKAPU KILIMANJARO 2023: MOCU watwaa ubingwa, watoa MVP
MOSHI, TANZANIA.
Timu ya
Kikapu ya Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MOCU) imetwaa ubingwa wa Ligi ya Mkoa
wa Kilimanjaro baada ya kuibamiza Wakuda
kwa pointi 100-82 katika mchezo wa fainali uliochezwa katika dimba la
Ushirika mjini Moshi.
Katika
mchezo huo wa fainali...