Tuesday, June 27, 2023
ZUBERI CUP 2023: Boys United, kocha, wachezaji wasimamishwa kushiriki, kisa.....
Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Mashindano ya Zuber
Cup 2023, katika kikao chake cha Juni 25, 2023 ilipitia mwenendo na matukio
mbalimbali Katika Michezo inayoendelea na kufanya maamuzi yafuatayo;
MCHEZO KATI YA BOYS UNITED 1- 2 MANDELA
Katika Mchezo huu Idadi ya Viongozi...
Saturday, June 17, 2023
Zuberi Cup 2023: Ufunguzi wafana, Mabhiya atoa neno
Michuano ya
Soka ya Zuberi Cup 2023 imezinduliwa rasmi leo katika dimba la Railway mjini
Moshi huku Bingwa mtetezi Kaloleni akifungua dhidi ya Moskisa Academy.
Mgeni rasmi
katika ufunguzi huo ni Katibu wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Kilimanjaro
Jonathan Mabhiya ambaye aliongoza...
Thursday, June 15, 2023
John Heche aichana Serikali sakata la bandari;
Heche: Serikali ituambie ilikaa wapi na DP WorldKiongozi Mwandamizi wa Chadema John Heche akihutubia umati wa wakazi wa Moshi Mjini Juni 15, 2023 katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Posta.Sakata tata la bandari nchini limeendelea kuchukua sura mpya...
Monday, June 12, 2023
Silvio Berlusconi Is no More, Rambirambi zatolewa

Waziri Mkuu wa zamani wa Italia Slivio Berlusconi amefariki dunia leo Juni 12, 2023 akiwa na umri wa miaka 86.Mfanyabiashara huyo bilionea aliunda kampuni kubwa zaidi ya vyombo vya habari nchini Italia kabla ya kubadilisha hali ya kisiasa - huku akikabiliana na kashfa nyingi...
Tuesday, June 6, 2023
PICHA: Ziara ya Kamati ya Siasa ya CCM-Mawenzi, Moshi

Shule ya Msingi Mawenzi ikiwa katika maboresho baada ya kutengewa kiasi cha Shilingi Mil. 60 ambazo zitatumika kukarabati vyumba sita vya madarasa. Hata hivyo katika ziara hiyo iliyoongozwa na Diwani wa Kata ya Mawenzi Apaikunda Naburi waliukataa mradi huo.Wajumbe wa Kamati...
TANROADS Kilimanjaro yakaidi agizo la Waziri wa Uchukuzi
Lori la Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga likizuiwa katika mizani ya Njiapanda, Moshi kutokana na kuzidisha uzito.Meneja wa Wakala wa Barabara nchini
(Tanroads) mkoani Kilimanjaro Mhandisi Motta Kyando, anadaiwa kukaidi amri ya
waziri wa uchukuzi Makame Mbarawa wa kuliachailia...
Thursday, June 1, 2023
Beta Charitable Trust, Lions Club zasaidia wazee 120 kupima macho Kilimanjaro

Taasisi isiyo kuwa ya kiserikali ya Beta Charitable Trust ya nchini Uingereza kwa kushirikiana na Lions Club Tanzania, wametoa ufadhili wa huduma ya matibabu ya uchunguzi wa kupima macho bure kwa wazee 120 , lengo likiwa ni kuwawezesha watu wenye vipato vya chini kupata huduma...