Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Thursday, November 19, 2020

Tume ya Ushindani yafukua madudu Simba SC

 Kikosi cha Simba msimu wa 2020/2021Mnamo Novemba 18, 2020 Tume ya Ushindani (FCC) ilitoa taarifa yake kwa umma kuhusu uchunguzi juu ya mchakato  wa kubadili mfumo wa uendeshaji {transformation) wa klabu ya Simba kutoka wanachama kwenda kwenye umiliki wa hisa chini...

Taswira ya mashindano ya kikapu CRDB Taifa Cup 2020

Miongoni mwa mechi hatua ya makundi CRDB Taifa Cup 2020 baina ya Pemba na CRDB Youth katika viwanja vya Chinangali, Dodoma. (Picha na Michuzi Blog)MCHEZO wa kikapu ulivumbuliwa mnamo mwaka 1891 nchini Marekani na raia wa Canada aitwae James Naismith. Alikuwa ni mwalimu. Alibuni mchezo...

Wednesday, November 18, 2020

TOC, vyama vya michezo fanyieni kazi kauli ya RC Tanga

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu akiwasalimia wachezaji wa timu ya mpira wa pete (Netball) ya Geita Gold Mine wakati wa uzinduzi wa mashindano ya SHIMMUTA kwenye uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma mnamo mwaka 2018.MASHINDANO ya michezo ya Mashirika...

Why Actions Matter More Than Words in fight against corruption

The President of Republic of Tanzania Dr. John Pombe Magufuli will inaugurate the 12nd Parliament on November 13, 2020. President Magufuli who was sworn in for a second five years term on November 5 will address the House and deliver his administration focus for coming five...

Tuesday, November 17, 2020

Mhelamwana amkabidhi kifimbo Mbunge Moshi Mjini

 Mzee Chifu Omary Athuman Mwariko kwa jina maarufu “Mhelamwana” ni Msanii wa uchongaji vinyago  ambaye pia aliwahi kuchonga fimbo alichokuwa  akikitumia  Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, maarufu kama ‘Kifimbo cha Mwalimu’.Chifu Mwariko, jana...

Falsafa ya Stalin na mustakabali wa kumaliza tofauti Jimbo la Tigray, Ethiopia

 Hali ya wasiwasi imekuwa ikiongezeka kwa muda mrefu na uhusiano baina ya Harakati ya Wananchi ya Ukombozi wa Tigray (TPLF) na Serikali Kuu umezorota kabisa. Mzozo unaoendelea nchini humo unaonekana kuchukua taswira mpya baada ya matukio ya mashambulizi kadhaa ya viwanja...