
Thursday, November 19, 2020
Tume ya Ushindani yafukua madudu Simba SC

Kikosi cha Simba msimu wa 2020/2021Mnamo Novemba 18, 2020 Tume ya
Ushindani (FCC) ilitoa taarifa yake kwa umma kuhusu uchunguzi juu ya
mchakato wa kubadili mfumo wa uendeshaji
{transformation) wa klabu ya Simba kutoka wanachama kwenda kwenye umiliki wa
hisa chini...
Taswira ya mashindano ya kikapu CRDB Taifa Cup 2020

Miongoni mwa mechi hatua ya makundi CRDB Taifa Cup 2020 baina ya Pemba na CRDB Youth katika viwanja vya Chinangali, Dodoma. (Picha na Michuzi Blog)MCHEZO wa kikapu ulivumbuliwa mnamo mwaka 1891 nchini
Marekani na raia wa Canada aitwae James Naismith. Alikuwa ni mwalimu. Alibuni
mchezo...
Wednesday, November 18, 2020
TOC, vyama vya michezo fanyieni kazi kauli ya RC Tanga

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu akiwasalimia wachezaji wa timu ya mpira wa pete (Netball) ya Geita Gold Mine wakati wa uzinduzi wa mashindano ya SHIMMUTA kwenye uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma mnamo mwaka 2018.MASHINDANO ya michezo ya Mashirika...
Why Actions Matter More Than Words in fight against corruption

The President of Republic of Tanzania Dr. John Pombe Magufuli will inaugurate the 12nd Parliament on November 13, 2020. President Magufuli who was sworn in for a second five years term on November 5 will address the House and deliver his administration focus for coming five...
Tuesday, November 17, 2020
Mhelamwana amkabidhi kifimbo Mbunge Moshi Mjini
Mzee Chifu Omary Athuman Mwariko kwa jina maarufu “Mhelamwana” ni Msanii wa uchongaji vinyago ambaye pia aliwahi kuchonga fimbo alichokuwa akikitumia Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, maarufu kama ‘Kifimbo cha Mwalimu’.Chifu Mwariko, jana...
Falsafa ya Stalin na mustakabali wa kumaliza tofauti Jimbo la Tigray, Ethiopia

Hali ya wasiwasi imekuwa ikiongezeka kwa muda mrefu na
uhusiano baina ya Harakati ya Wananchi ya Ukombozi wa Tigray (TPLF) na Serikali
Kuu umezorota kabisa.
Mzozo unaoendelea nchini humo unaonekana kuchukua
taswira mpya baada ya matukio ya mashambulizi kadhaa ya viwanja...