
Saturday, January 12, 2019
Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar

Zanzibar inaadhimisha miaka 55 ya Mapinduzi kwa sherehe
zinazofanyika kwa mara ya kwanza kisiwani Pemba tangu alipoingia madarakani
Rais Ali Mohammed Shein.
ILIKUWAJE?
Usiku wa tarehe 12 Januari 1964 kundi la watu 300 walikitwaa
kisiwa cha Unguja wakiongozwa na mtu asiyekuwa...
Friday, January 11, 2019
AFC Asia Cup: India yazabuliwa 2-0 na wenyeji U.A.E
Licha ya kuanza mchezo wa kwanza kwa ushindi lakini jana
India ilishindwa kutamba mbele ya wenyeji wa michuano ya soka kwa mataifa ya Asia
Falme za Kiarabu baada ya kupokea
kichapo cha mabao 2-0 (kwa mtungi).
Katika mchezo huo uliochezwa kwenye dimba
la Zayed Sports City kulishuhudiwa wenyeji hao wakigusa nyavu katika dakika ya 41
ya...
Thursday, January 10, 2019
Jaguar Land Rover kupunguza wafanyakazi

Watengenezaji wakubwa wa magari nchini Uingereza wa Jaguar
Land Rover wanajiandaa kupunguza maelfu ya ajira wakati ambao kampuni hilo
linakutana na uuzaji mdogo wa magari yake nchini China.
Sababu nyingine
inayotajwa ya kupunguza wafanyakazi wa kampuni hilo ni kushuka...
Tshisekedi atangazwa rasmi Rais wa DR Congo

Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo ametangazwa kuwa Rais wa
Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na tume ya uchaguzi baada ya kuchelewesha
matokeo ya uchaguzi kwa muda mrefu.
Jana kabla ya kutangaza matokeo hayo Polisi
wa kuzuia fujo wakiwa na mizinga ya maji ya kuwasha...
Wednesday, January 9, 2019
Mahakama yatupilia mbali kesi ya mapitio ya Kanuni za Maudhui ya Kimtandao
Mahakama Kuu kanda ya Mtwara imetupilia mbali kesi ya kutaka
mapitio ya Kanuni za Maudhui ya Kimtandao iliyofunguliwa na Baraza la Habari
Tanzania MCT, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu
LHRC na Muungano wa Mtandao
wa Watetezi wa Haki za Binadamu(THRDC). Katika...
Sunday, January 6, 2019
AFC Asia Cup: India yaanza vema hatua ya makundi

Sunil Chhetri akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kufunga bao dhid ya Thailand January 6 mwaka huu
Kundi A limeanza kampeni zake za kuwania taji la soka kwa Mataifa ya Asia mwaka huu huku India ikiizabua
Thailand kwa mabao 4-1. Sunil Chhetri mwenye miaka 34 alifunga...
Saturday, January 5, 2019
Djokovic ashindwa kutinga fainali Qatar Open 2019

Mchezaji wa tenisi namba moja ulimwenguni Novak Djokovic
ameshindwa kutinga hatua ya fainali ya mashindano ya wazi ya tenisi ya Qatar
akipata kichapo cha kustaajabisha kutoka kwa mchezaji wa tenisi namba 24 kwa
ubora duniani Roberto Bautista Agut raia wa Hispania.
Roberto...