Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Saturday, January 12, 2019

Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar

Zanzibar inaadhimisha miaka 55 ya Mapinduzi kwa sherehe zinazofanyika kwa mara ya kwanza kisiwani Pemba tangu alipoingia madarakani Rais Ali Mohammed Shein. ILIKUWAJE? Usiku wa tarehe 12 Januari 1964 kundi la watu 300 walikitwaa kisiwa cha Unguja wakiongozwa na mtu asiyekuwa...

Friday, January 11, 2019

AFC Asia Cup: India yazabuliwa 2-0 na wenyeji U.A.E

Licha ya kuanza mchezo wa kwanza kwa ushindi lakini jana India ilishindwa kutamba mbele ya wenyeji wa michuano ya soka kwa mataifa ya Asia Falme za Kiarabu  baada ya kupokea kichapo cha mabao 2-0 (kwa mtungi).  Katika mchezo huo uliochezwa kwenye dimba la Zayed Sports City kulishuhudiwa wenyeji hao wakigusa nyavu katika dakika ya 41 ya...

Thursday, January 10, 2019

Jaguar Land Rover kupunguza wafanyakazi

Watengenezaji wakubwa wa magari nchini Uingereza wa Jaguar Land Rover wanajiandaa kupunguza maelfu ya ajira wakati ambao kampuni hilo linakutana na uuzaji mdogo wa magari yake nchini China.  Sababu nyingine inayotajwa ya kupunguza wafanyakazi wa kampuni hilo ni kushuka...

Tshisekedi atangazwa rasmi Rais wa DR Congo

Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo ametangazwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na tume ya uchaguzi baada ya kuchelewesha matokeo ya uchaguzi kwa muda mrefu.  Jana kabla ya kutangaza matokeo hayo Polisi wa kuzuia fujo wakiwa na mizinga ya maji ya kuwasha...

Wednesday, January 9, 2019

Mahakama yatupilia mbali kesi ya mapitio ya Kanuni za Maudhui ya Kimtandao

Mahakama Kuu kanda ya Mtwara imetupilia mbali kesi ya kutaka mapitio ya Kanuni za Maudhui ya Kimtandao iliyofunguliwa na Baraza la Habari Tanzania MCT, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu  LHRC na Muungano wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu(THRDC). Katika...

Sunday, January 6, 2019

AFC Asia Cup: India yaanza vema hatua ya makundi

Sunil Chhetri akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kufunga bao dhid ya Thailand January 6 mwaka huu Kundi A limeanza kampeni zake za kuwania taji la soka kwa  Mataifa ya Asia mwaka huu huku India ikiizabua Thailand kwa mabao 4-1. Sunil Chhetri mwenye miaka 34 alifunga...

Saturday, January 5, 2019

Djokovic ashindwa kutinga fainali Qatar Open 2019

Mchezaji wa tenisi namba moja ulimwenguni Novak Djokovic ameshindwa kutinga hatua ya fainali ya mashindano ya wazi ya tenisi ya Qatar akipata kichapo cha kustaajabisha kutoka kwa mchezaji wa tenisi namba 24 kwa ubora duniani Roberto Bautista Agut raia wa Hispania.  Roberto...