Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Friday, June 29, 2018

Gari la Mafuta laua 11 Lagos, Nigeria

Lori la mafuta limelipuka jijini Lagos, nchini Nigeria na kuua watu wasiopungua tisa na zaidi ya magari 50 yakiwamo mabasi matano kuteketea kwa moto. Mashuhuda wa tukio hilo wamesema lori hilo lilianguka na baadaye kulipuka baada ya mfumo wa breki kushindwa kufanya kazi. Tukio...

Wafahamu watoto 11 wa Joe Jackson

Joe Jackson ni baba wa mwanamuziki mahiri duniani Michael Jackson aliyefariki mwaka 2009.  Joe Jackson (1928-2018) enzi za uhai wake Joe alifariki dunia siku mbili baada ya kuadhimisha kifo cha mwanaye. Mzee huyo alifariki dunia Juni 27, 2018 Los Angeles nchini Marekani...

Thursday, June 28, 2018

Xi akutana na Mattis jijini Beijing

Rais wa China Xi Jinping amekuta na Katibu wa Ulinzi wa Marekani James Mattis jijini Beijing.  Rais wa China Xi Jinping (kulia) akimkaribisha Katibu wa Ulinzi wa Marekani James Mattis Juni 27, 2018 jijini Beijing. Xi alisema ulimwengu unakwenda kasi katika maendeleo...

Moto wateketeza soko Nairobi, 15 wapoteza maisha

Watu  15 wamepoteza maisha na wengine 70 kujeruhiwa katika harakati za kujiokoa kwenye moto uliozuka na kuchoma soko moja nchini Kenya. Moto ukiwaka katika soko la Gikomba asubuhi ya Juni 28, 2018 Mratibu wa kanda Kangethe Thuku alithibitisha kutokea kwa tukio hilo...

Ujerumani yaomba radhi kushindwa Kombe la Dunia

Baada ya miamba ya soka Ujerumani kutolewa katika kampeni za kuwania taji hilo mwaka huu, imeomba radhi kwa mashabiki wake na kusema kuwa hawakucheza kama mabingwa. Thomas Muller akiwa haamini kilichotokea Kazan Arena baada ya kushindwa kufuzu hatua ya makundi Timu ya...

Wednesday, June 27, 2018

Ripoti ya UN: Watoto 1,316 wauawa 2017, Saudia Arabia yashutumiwa

Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu Watoto na Madhara yanawakumbwa wakati wa vita imetolewa huku Saudia Arabia ikishutumiwa vikali.  Msanii wa Uchoraji Haifa Subay alichora picha ya watoto wawili akionyesha hisia zake kuhusu watoto wanaopata taabu kwenye vita ikiwa ni kampeni...

China yazindua teknolojia mpya ya Satelaiti

Taifa la China limefanikiwa kurusha chombo hewani katika teknolojia mpya mapema asubuhi ya Juni 27, 2018.  Teknolojia mpya ya Satelaiti Mbili zilizobebwa katika chombo cha Long March-2C ikizinduliwa Kusini Magharibi mwa China kwenye kituo cha Satelaiti cha Xichang. Uzinduzi...