
Thursday, April 3, 2025
KIBONG’OTO: Kutoka kituo cha Utafiti wa Kahawa hadi Hospitali Maalum ya Taifa ya Magonjwa Ambukizi
By JAIZMELAApril 03, 2025AFRIKA, KIMATAIFA, KIONJO, KITAIFA, MAKALA, MAKALA NA SIMULIZI, MAKTABANo comments

Mpaka mwaka 1882 katika bara la Ulaya mtu mmoja
kati ya watu saba alikuwa anakufa kwa ajili ya ugonjwa wa Kifua Kikuu ambapo
tarehe 4 Machi 1882 Mjerumani wa Chuo Kikuu cha Gottingen Dkt. Robert Koch
alitangaza kugundua kimelea kinachosababisha ugonjwa huo na kukipa jina...