Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Thursday, April 3, 2025

KIBONG’OTO: Kutoka kituo cha Utafiti wa Kahawa hadi Hospitali Maalum ya Taifa ya Magonjwa Ambukizi

Mpaka mwaka 1882 katika bara la Ulaya mtu mmoja kati ya watu saba alikuwa anakufa kwa ajili ya ugonjwa wa Kifua Kikuu ambapo tarehe 4 Machi 1882 Mjerumani wa Chuo Kikuu cha Gottingen Dkt. Robert Koch alitangaza kugundua kimelea kinachosababisha ugonjwa huo  na kukipa jina...