Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Thursday, September 12, 2024

Mlima Kilimanjaro, Pride of Tanzania and Africa

 Kilimanjaro ni mlima mrefu kuliko yote Afrika, pia ni wa pili kwa urefu Duniani. Mlima huu uko nchini Tanzania katika Mkoa wa Kilimanjaro. Una urefu wa futi 19,340 (mita 5,895). Hali halisi Kilimanjaro ni zaidi kuliko mlima tu ni kama safu ndogo ya milima mitatu: Kibo,...

Lori lililopinduka Sokoni Maimoria latolewa mtaroni, kazi ya kulitoa yachukua saa 4

Kazi ya kulitoa lori lililopinduka mnamo Septemba 9, 2024 ikimalizika, siku tatu baadaye majira ya saa 5:46 usiku, pembezoni mwa Soko la Maimoria  mjini Moshi. (Picha zote na JAIZMELA)Hatimaye lori la Kenya lililopinduka Soweto mjini Moshi, karibu na Soko maarufu la Maimoria...

Askofu Sendoro kuzikwa Septemba 17, 2024

Askofu Chediel Elinaza Sendoro(Mei 1,1970-Septemba 9, 2024)Halmashauri Kuu ya Dayosisi ya Mwanga ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), imesema mazishi ya aliyekuwa Askofu  wa (KKKT) Jimbo la Mwanga Chediel Elinaza Sendoro, yatafanyika Septemba 17 mwaka huu...

Tuesday, September 10, 2024

Maandalizi maziko ya Askofu Chediel Sendoro yanaendelea

Askofu wa Dayosisi ya Mwanga ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Chediel Sendoro Maandalizi kwa ajili ya kumzika Askofu wa Askofu wa Dayosisi ya Mwanga ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Chediel Sendoro aliyefariki dunia kwa ajali usiku...