Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Sunday, June 30, 2024

Mikopo ya Halmashauri kuanza kutolewa tena Julai 1, 2024

Diwani wa Kata ya Korongoni, Moshi, Bi. Heavenlight Kiyondo akiwa na mjukuu wake nyumbani kwake. Diwani huyo amekuwa mstari wa mbele kuwahamasisha wanawake na vijana kwenda kukopa katika Halmashauri mikopo isiyo na masharti magumu ili kujiepusha na mikopo itakayowapeleka kwenye...

Dkt. Nchimbi anavyowatazama Tundu Lissu, Mbowe

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi  (CCM) Taifa; Dkt. Emmanuel Nchimbi katika mkutano wa Hadhara katika mji wa BomaNg'ombe wilayani Hai Juni 4,  2024 (Picha na Jabir Johnson/JAIZMELA)Katika miongoni ya mikutano ya hadhara iliyowastaajabisha wengi na hawakutegemea kama...

TFF yatakiwa kulipa hadhi soka la Mitaa, Viwanja nyasi bandia

Soka ni miongoni mwa michezo maarufu ulimwenguni na unaopendwa na watu wengi, kazazi cha Karne ya 21 hakiwezi kuwasahau Cristiano Ronaldo wa Ureno na Lionel Messi wa Argentina.Nyota hawa Wawili wamekuwa katika viwango vya juu siku zote katika maisha Yao ya soka lakini Jambo...