
Monday, May 20, 2024
Urejeshwaji wa mikopo ya asilimia 10% kusaidia Wajasiriamali kiuchumi

Diwani wa Kata ya Korongoni Heavenlight KiyondoDiwani wa Kata ya Korongoni, Halmashauri ya Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro HeavenLight Kiondo, amesema kuwa mikopo ya asilimia 10% inayotarajiwa kutolewa na Serikali itasaidia Wanawake Wajasiriamali, Vijana na Watu...
ZUBERI CUP TOURNAMENT 2024: Mipira 80 yatolewa timu washiriki, Donge Nono latangazwa kwa mshindi

Mwasisi wa Mashindano ya soka mjini Moshi Zuberi Cup Tournament; Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi Injinia Zuberi Kidumo Mashindano ya soka kila mwishoni mwa msimu mjini Moshi mkoani Kilimanjaro ya Zuberi Cup yamezinduliwa rasmi mnamo Mei 18, 2024 kwa kikao cha kwanza...