Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Monday, May 20, 2024

Urejeshwaji wa mikopo ya asilimia 10% kusaidia Wajasiriamali kiuchumi

Diwani wa Kata ya Korongoni Heavenlight KiyondoDiwani wa Kata ya Korongoni, Halmashauri ya Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro  HeavenLight Kiondo, amesema kuwa mikopo ya asilimia 10% inayotarajiwa kutolewa na Serikali itasaidia Wanawake Wajasiriamali, Vijana na Watu...

ZUBERI CUP TOURNAMENT 2024: Mipira 80 yatolewa timu washiriki, Donge Nono latangazwa kwa mshindi

Mwasisi wa Mashindano ya soka mjini Moshi Zuberi Cup Tournament; Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi Injinia Zuberi Kidumo Mashindano ya soka kila mwishoni mwa msimu mjini Moshi mkoani Kilimanjaro ya Zuberi Cup yamezinduliwa rasmi mnamo Mei 18, 2024 kwa kikao cha kwanza...

Monday, May 13, 2024