
Tuesday, April 30, 2024
Miili ya Familia iliyosombwa mafuriko yaagwa KDC-Moshi DC

Miili ya Watu waliofariki kwa mafuriko wilaya ya Moshi mkoani
Kilimanjaro imeagwa leo asubuhi Aprili 30, 2024 katika viwanja vya Halmashauri ya
Wilaya hiyo na Mamia ya waombolezaji.Tito Chaki (1961-2024),
Joram Kimambo (2011-2024), Freddy Justus (2018-2024), Anjela Chaki...
Saturday, April 27, 2024
AMANI GOLUGWA: Maandamano ya Chadema sio Kelele, Sherehe au Picnic
Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini Amani Golugwa akizungumza na waandishi wa habari siku chache kabla ya maandamano ya Aprili 30, 2024 mjini Moshi Kushoto ni Katibu wa Chadema Moshi Mjini Mzee Minja na Kulia ni Mwenyekiti wa Chadema na Mstahiki Meya Mstaafu Moshi Raymond Mboya....
Tuesday, April 23, 2024
Takukuru Kilimanjaro yabaini ‘madudu’ ujenzi Bweni Machame Girls

Mkuu wa Takukuru mkoa wa Kilimanjaro Mussa Chaulo akizungumza na vyombo vya habari mnamo Aprili 23, 2024 kuhusu utendaji kazi wa miezi mitatu kutoka Januari hadi Machi 2024 wa taasisi hiyo. Picha na JAIZMELASintofahamu ya ujenzi
wa bweni katika Shule ya Sekondari ya wasichana...
Wednesday, April 17, 2024
Diaspora wa Msumbiji mkoani Kilimanjaro kupiga kura mjini Moshi Okt. 9, 2024

Raia wa Msumbiji waishio mkoani Kilimanjaro na maeneo mengine nchini Tanzania wametakiwa kujitokeza katika uchaguzi mkuu wa taifa hilo la Kusini mwa Afrika unaotarajiwa kufanyika Oktoba 9, 2024 Akizungumza na Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Kilimanjaro...
Thursday, April 11, 2024
Uwekezaji Shule ya Kibo Shanty, Moshi unavyomtesa Ibra Line; Jumuiya ya Wazazi yamwita 'Muhuni'
Jumuiya
ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Kilimanjaro
imethibitisha bila shaka yoyote kuwa mleta vurugu katika uwekezaji
katika Shule ya Kibo Shanty ni mwanasiasa na mfanyabiashara maarufu
Ibrahim Shayo "Ibra Line".Aidha Jumuiya hiyo imesema kuwa Ibra...