Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Tuesday, April 30, 2024

Miili ya Familia iliyosombwa mafuriko yaagwa KDC-Moshi DC

Miili ya Watu waliofariki kwa mafuriko wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro imeagwa leo asubuhi Aprili 30, 2024 katika viwanja vya Halmashauri ya Wilaya hiyo na Mamia ya waombolezaji.Tito Chaki (1961-2024), Joram Kimambo (2011-2024), Freddy Justus (2018-2024), Anjela Chaki...

Saturday, April 27, 2024

AMANI GOLUGWA: Maandamano ya Chadema sio Kelele, Sherehe au Picnic

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini Amani Golugwa akizungumza na waandishi wa habari siku chache kabla ya maandamano ya Aprili 30, 2024 mjini Moshi Kushoto ni Katibu wa Chadema Moshi Mjini Mzee Minja na Kulia ni Mwenyekiti wa Chadema na Mstahiki Meya Mstaafu Moshi Raymond Mboya....

Tuesday, April 23, 2024

Takukuru Kilimanjaro yabaini ‘madudu’ ujenzi Bweni Machame Girls

Mkuu wa Takukuru mkoa wa Kilimanjaro Mussa Chaulo akizungumza na vyombo vya habari mnamo Aprili 23, 2024 kuhusu utendaji kazi wa miezi mitatu kutoka Januari hadi Machi 2024 wa taasisi hiyo. Picha na JAIZMELASintofahamu ya ujenzi wa bweni katika Shule ya Sekondari ya wasichana...

Wednesday, April 17, 2024

Diaspora wa Msumbiji mkoani Kilimanjaro kupiga kura mjini Moshi Okt. 9, 2024

Raia wa Msumbiji waishio mkoani Kilimanjaro na maeneo mengine nchini Tanzania wametakiwa kujitokeza katika uchaguzi mkuu wa taifa hilo la Kusini mwa Afrika unaotarajiwa kufanyika Oktoba 9, 2024  Akizungumza na Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Kilimanjaro...

Thursday, April 11, 2024

Uwekezaji Shule ya Kibo Shanty, Moshi unavyomtesa Ibra Line; Jumuiya ya Wazazi yamwita 'Muhuni'

Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Kilimanjaro imethibitisha bila shaka yoyote kuwa mleta vurugu katika uwekezaji katika Shule ya Kibo Shanty ni mwanasiasa na mfanyabiashara maarufu  Ibrahim Shayo "Ibra Line".Aidha Jumuiya hiyo imesema kuwa Ibra...