Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Tuesday, February 27, 2024

Vijana watakiwa kuchangamkia ujuzi VETA

Zoezi la hiari la uchangiaji damu limefanyika katika Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) mjini Moshi Kilimanjaro Februari 27, 2024 ambapo wanachuo zaidi ya 300 walijitolea damu zao. (Picha Na: JAIZMELA)Vijana wametakiwa kuwa imara kiuchumi kwa kuwa na ujuzi ili kujikwamua na changamoto...

Friday, February 23, 2024

Shabiki wa Yanga akwama kuiona CR Belouzidad

 Iddi Shaban Mkhuu, Shabiki kindaki wa Young Africans aliyeweka rekodi ya kutembea kwa baiskeli kutoka Arusha hadi Kigoma kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Simba mnamo mwaka 2021 ambapo Simba ilishinda kwa bao 1-0. (Picha na JAIZMELA) Normal 0 false ...

Wednesday, February 21, 2024

Huko Moshi; Unataka sukari, nunua sabuni au kiberiti

 Mijadala katika vijiwe vya kahawa katika mitaa nchini ni kuhusu bei ya sukari kupanda huku wengine wakilazimishwa kununua kiberiti au sabuni wakati wanapotaka kununua kilo ya sukari katika maduka ya rejareja hususani mjini Moshi mkoani Kilimanjaro. (Picha na JAIZMELA)Baadhi...

Tuesday, February 20, 2024

Uko tayariiiiiiii! Same Utalii Festival 2024

 Kamishna Emmanuel Mwerane wa Hifadhi ya Mkomazi akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Same Bi. Kaslida Mgeni katika geti kuu la kuingilia hifadhi hiyo kuashiria ukaribisho wa watalii katika hifadhi  hiyo kuelekea Same Utalii Festival 2024 ambalo litafanyika wilayani humo kuanzia...

Thursday, February 8, 2024

Kuteketea Soko la Mbuyuni kutoa fursa taasisi binafsi kudhibiti majanga ya moto?

 MOSHI, KILIMANJARO SOKO la Mbuyuni lililopo Manispaa ya Moshi mkoa wa Kilimanjaro ni miongoni mwa masoko maarufu makubwa nchini ambayo yameingia katika orodha ya kuteketea kwa moto na kusababisha hasara kubwa kwa Wafanyabiashara, ndugu jamaa na marafiki kuathirika kisaikolojia...