Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Monday, May 31, 2021

Mamadou Sakho azuru Zanzibar

Mamadou Sakho katika viunga vya Zanzibar, Tanzania.Mchezaji wa timu ya Crystal Palace ya Uingereza na inayoshiriki ligi kuu ya EPL Mamadou Sakho kwasasa yupo Zanzibar kwa ajili ya ziara ya kitalii. Sakho raia wa Ufaransa ameamua kuja zake Zanzibar kwa ajili ya kula bata katika...

Mkonapa FC, Mabingwa wa Soka Wilaya ya Same

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...

MAKTABA YA JAIZMELA: Mohammed ‘Adolph’ Rishard ni nani?

Mohammed 'Adolph' Rishard baada ya kustaafu soka na kuwa kocha wa mchezo huo nchini Tanzania. Young Africans SC  (Yanga) ni klabu ya soka nchini Tanzania ambayo iliasisiwa rasmi kwa jina la New Youngs mnamo Februari 12, 1935. Mnamo mwaka 1938 lilibadilishwa na kuwa Young...

Sunday, May 30, 2021

Chelsea yatwaa taji Ligi ya Mabingwa Ulaya 2020/21

  Bao pekee la Karl Havertz katika dakika ya 42 lilitosha kuipa ubingwa wa Ulaya Chelsea dhidi ya Manchester City. Chelsea ikiwa chini ya kocha Thomas Tuchel na Man City mikononi mwa Pep Guardiola.  Normal 0 false false false EN-US ...

Monday, May 24, 2021

Mapato na matumizi yamkimbiza M/Kijiji Yamu Makaa

 Wanakijiji wa Yamu Makaa wakifunga barabara kuzuia malori ya mchang kuingia kijiji kwao, mpaka taarifa ya Mapato na Matumizi ya Kijiji itakaposomwa.Wanakijiji wa Yamu Makaa wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro wamefanya maandamano makubwa kijijini hapo yaliyosababisha mwenyekiti...

Thursday, May 20, 2021

Kozi ya waamuzi kufanyika Julai wilayani Mwanga

  Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...

Monday, May 3, 2021

Ifahamu Hifadhi ya Msitu Asilia ya Rau

Mhifadhi Mkuu wa Msitu Asilia wa Rau, Godson OllomiHifadhi ya Msitu wa Rau (RCFR) iliyopo katika Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro ilianzishwa kutokana na tangazo la serikali Na. 127 0F 25/5/1951. Msitu huu asilia unapatikana kilometa tatu Kusini Mashariki mwa mji wa Moshi....