
Monday, May 31, 2021
Mamadou Sakho azuru Zanzibar

Mamadou Sakho katika viunga vya Zanzibar, Tanzania.Mchezaji wa timu ya Crystal Palace ya Uingereza na
inayoshiriki ligi kuu ya EPL Mamadou Sakho kwasasa yupo Zanzibar kwa ajili ya
ziara ya kitalii.
Sakho raia wa Ufaransa ameamua kuja zake Zanzibar kwa ajili
ya kula bata katika...
Mkonapa FC, Mabingwa wa Soka Wilaya ya Same

Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
MicrosoftInternetExplorer4
...
MAKTABA YA JAIZMELA: Mohammed ‘Adolph’ Rishard ni nani?

Mohammed 'Adolph' Rishard baada ya kustaafu soka na kuwa kocha wa mchezo huo nchini Tanzania.
Young Africans SC
(Yanga) ni klabu ya soka nchini Tanzania ambayo iliasisiwa rasmi kwa
jina la New Youngs mnamo Februari 12, 1935.
Mnamo mwaka 1938 lilibadilishwa na kuwa Young...
Sunday, May 30, 2021
Chelsea yatwaa taji Ligi ya Mabingwa Ulaya 2020/21

Bao
pekee la Karl Havertz katika dakika ya 42 lilitosha kuipa ubingwa wa Ulaya
Chelsea dhidi ya Manchester City. Chelsea ikiwa chini ya kocha Thomas Tuchel na
Man City mikononi mwa Pep Guardiola.
Normal
0
false
false
false
EN-US
...
Monday, May 24, 2021
Mapato na matumizi yamkimbiza M/Kijiji Yamu Makaa

Wanakijiji wa Yamu Makaa wakifunga barabara kuzuia malori ya mchang kuingia kijiji kwao, mpaka taarifa ya Mapato na Matumizi ya Kijiji itakaposomwa.Wanakijiji
wa Yamu Makaa wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro wamefanya maandamano makubwa
kijijini hapo yaliyosababisha mwenyekiti...
Thursday, May 20, 2021
Kozi ya waamuzi kufanyika Julai wilayani Mwanga

Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
MicrosoftInternetExplorer4
...
Monday, May 3, 2021
Ifahamu Hifadhi ya Msitu Asilia ya Rau

Mhifadhi Mkuu wa Msitu
Asilia wa Rau, Godson OllomiHifadhi
ya Msitu wa Rau (RCFR) iliyopo katika Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro
ilianzishwa kutokana na tangazo la serikali Na. 127 0F 25/5/1951. Msitu huu
asilia unapatikana kilometa tatu Kusini Mashariki mwa mji wa Moshi....