Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Lucas Moura aipeleka Spurs hatua ya 16 Ligi ya Mabingwa Ulaya

Lucas Moura akipongezwa na wenzake baada ya kuisawazishia Tottenham
Lucas Moura hawakuweza kuuzuia mkwaju ulipa Spurs kusonga mbele
Dakika ya 85 ya mchezo ubao wa matokeo Camp Nou ulibadilika baada ya Mbrazil Lucas Moura kuisawazishia Spurs
Heung Min Son litoa mchango wa bao hilo akimpita Thomas Vermalen katika mchezo huo.
Qusmane Dembele aliwashika kweli kweli Spurs ambapo dakika ya saba ya mchezo alipachika wavuni bao la kuongoza

Lionel Messi aliingia akitokea mechi akichukua nafasi ya Munir El Hadadi

Post a Comment

0 Comments