Thursday, December 27, 2018
Gareth Bale mfungaji bora Fifa Club World Cup 2018
FIFA Club World Cup mwaka 2018 imemalizika kukishuhudiwa Real Madrid ikiweka rekodi mpya kwa klabu hizo kutwaa ubingwa mara nne tangu kuanzishwa kwa michuano hiyo.
Madrid ambao ni mabingwa wa Ulaya waliwatandika wenyeji Al Ain kwa mbao 4-1 ambao waliwashangaza wengi kwa kuitoa miamba ya Amerika Kusini River Plate katika hatua za awali.
Rekodi...
Friday, December 21, 2018
Tuesday, December 18, 2018
Wednesday, December 12, 2018
Lucas Moura aipeleka Spurs hatua ya 16 Ligi ya Mabingwa Ulaya

Lucas Moura akipongezwa na wenzake baada ya kuisawazishia Tottenham
Lucas Moura hawakuweza kuuzuia mkwaju ulipa Spurs kusonga mbele
Dakika ya 85 ya mchezo ubao wa matokeo Camp Nou ulibadilika baada ya Mbrazil Lucas Moura kuisawazishia Spurs
Heung Min Son litoa mchango...