Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Wednesday, February 26, 2025

Kwanini Filbert Bayi bado yu vinywani mwa Wanigeria?

 Mvuto wa riadha si kwamba ni mchezo pekee wenye usafi, haki, usahihi na uzuri; haiba yake halisi ni kwamba ni binadamu sana. Wakati wanariadha wanashindana dhidi ya wengine, kila mmoja anapigania kufanya bora kabisa dhidi ya udhaifu wao wenyewe. Baada ya kushinda basi...

Tuesday, February 4, 2025

Bweni la wanafunzi Kaloleni Islamic Seminary laungua moto

Chumba cha tatu cha Bweni la Makka katika shule ya Kaloleni Islamic Smeinary baada ya kuzimwa kwa moto. Picha na Jabir Johnson/JAIZMELA correspondentZaidi ya wanafunzi 50 wa kike, Shule ya Sekondari ya Kaloleni Islamic ya mjini Moshi mkoani Kilimanjaro wamenusurika kuungua na...

Saturday, February 1, 2025

Watatu wafariki dunia papo hapo kwa ajali mjini Moshi

 Watu watatu wamefariki dunia kutokana na ajali iliyohusisha gari dogo na mabasi mawili ya Abiria mjini Moshi mkoani Kilimanjaro, kwa kile kinasadikika ni mwendokasi na kuovertake. Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro lilifika eneo la Kaanan, mjini hapa ilipotokea ajali hiyo...