
Wednesday, February 26, 2025
Kwanini Filbert Bayi bado yu vinywani mwa Wanigeria?
By JAIZMELAFebruary 26, 2025AFRIKA, BURUDANI, KIMATAIFA, KIONJO, KITAIFA, MAKALA, MAKALA NA SIMULIZI, MAKTABA, MICHEZONo comments

Mvuto wa riadha si kwamba ni
mchezo pekee wenye usafi, haki, usahihi na uzuri; haiba yake halisi ni kwamba
ni binadamu sana. Wakati wanariadha wanashindana dhidi ya wengine, kila mmoja
anapigania kufanya bora kabisa dhidi ya udhaifu wao wenyewe. Baada ya kushinda
basi...
Tuesday, February 4, 2025
Bweni la wanafunzi Kaloleni Islamic Seminary laungua moto

Chumba cha tatu cha Bweni la Makka katika shule ya Kaloleni Islamic Smeinary baada ya kuzimwa kwa moto. Picha na Jabir Johnson/JAIZMELA correspondentZaidi ya wanafunzi 50 wa kike,
Shule ya Sekondari ya Kaloleni Islamic ya mjini Moshi mkoani Kilimanjaro
wamenusurika kuungua na...
Saturday, February 1, 2025
Watatu wafariki dunia papo hapo kwa ajali mjini Moshi

Watu watatu
wamefariki dunia kutokana na ajali iliyohusisha gari dogo na mabasi mawili ya
Abiria mjini Moshi mkoani Kilimanjaro, kwa kile kinasadikika ni mwendokasi na
kuovertake.
Jeshi la
Polisi mkoani Kilimanjaro lilifika eneo la Kaanan, mjini hapa ilipotokea ajali
hiyo...