Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Thursday, January 30, 2025

MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN 2025: Kushindwa kuandika Wosia kumetajwa chanzo cha migogoro ya ardhi na mirathi

Wakili Boniface MwabukusiRais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS)Kushindwa kuandika wosia kumetajwa kama chanzo cha migogoro ya ardhi na mirathiAkizungumza katika uzinduzi wa wiki ya sheria mnamo Januari 29, 2025 mkoani Kilimanjaro Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika...

Monday, January 27, 2025

Yuji ‘Gump’ Suzuki awasili Cape Town (SA) kwa mguu, baada ya siku 210

Yuji "Gump" Suzuki mnamo Januari 26, 2025 jijini Cape Town baada ya kuwasili akihitimisha safari yake ya kilometa 6,000 kutoka Nairobi, Kenya. Yuji alitumia miezi saba kutoka Juni 2024 hadi Januari 26, 2025.“Hayo ni Maisha Yangu”; alisikika Mjapan mmoja akitamka mnamo Januari...

Thursday, January 23, 2025

Tundu Lissu ni nani?

 Tundu Antipas LissuMwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)Tundu Lissu ni mwanasheria maarufu nchini Tanzania, na aliwahi kuwa Rais wa chama cha wanasheria Tanganyika(TLS), mwaka 2020 aligombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chadema na kushindwa na mgombea...

Sunday, January 5, 2025

China Communication Construction Company kuanza ujenzi barabara ya Ndungu-Mkomazi

 Wakala wa barabara Nchini (TANROADS) wametakiwa kuhakikisha wanatoa kipaumbele kwa wazawa kwenye miradi ya ujenzi barabara na kuwawezesha vijana kupata ajira kwa lengo la kuinua uchumi wa wananchi . Waziri wa ujenzi Abdalla Ulega ametoa agizo hilo alipokuwa Wilayani Same...