Thursday, January 30, 2025
MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN 2025: Kushindwa kuandika Wosia kumetajwa chanzo cha migogoro ya ardhi na mirathi
Wakili Boniface MwabukusiRais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS)Kushindwa kuandika wosia kumetajwa kama chanzo cha migogoro ya ardhi na mirathiAkizungumza katika uzinduzi wa wiki ya sheria mnamo Januari 29, 2025 mkoani Kilimanjaro Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika...
Monday, January 27, 2025
Yuji ‘Gump’ Suzuki awasili Cape Town (SA) kwa mguu, baada ya siku 210
By JAIZMELAJanuary 27, 2025AFRIKA, BURUDANI, KIMATAIFA, KIONJO, KITAIFA, MAKALA, MAKALA NA SIMULIZI, MAKTABA, MICHEZONo comments

Yuji "Gump" Suzuki mnamo Januari 26, 2025 jijini Cape Town baada ya kuwasili akihitimisha safari yake ya kilometa 6,000 kutoka Nairobi, Kenya. Yuji alitumia miezi saba kutoka Juni 2024 hadi Januari 26, 2025.“Hayo ni Maisha Yangu”; alisikika Mjapan mmoja akitamka mnamo
Januari...
Thursday, January 23, 2025
Tundu Lissu ni nani?
By JAIZMELAJanuary 23, 2025AFRIKA, KIMATAIFA, KITAIFA, MAKALA, MAKALA NA SIMULIZI, MAKTABANo comments

Tundu Antipas LissuMwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)Tundu Lissu ni mwanasheria maarufu nchini Tanzania, na
aliwahi kuwa Rais wa chama cha wanasheria Tanganyika(TLS), mwaka 2020 aligombea
urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chadema na kushindwa na mgombea...
Sunday, January 5, 2025
China Communication Construction Company kuanza ujenzi barabara ya Ndungu-Mkomazi

Wakala wa barabara Nchini
(TANROADS) wametakiwa kuhakikisha wanatoa kipaumbele kwa wazawa kwenye miradi
ya ujenzi barabara na kuwawezesha vijana kupata ajira kwa lengo la kuinua
uchumi wa wananchi .
Waziri wa ujenzi Abdalla Ulega
ametoa agizo hilo alipokuwa Wilayani Same...