Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Sunday, August 13, 2023

Friendly Veterans Match: HIMO 1-4 BEST MARIDADI

Wachezaji wa Himo Veterans (wenye jezi ya Kijani) wakiwa katika picha ya pamoja na wageni wao BEST Maridadi katika dimba la Uwanja wa Polisi katika mji mdogo wa Himo kabla ya kuanza mchezo huo asubuhi ya Agosti 13, 2023Mchezo wa kiveterani baina ya Himo dhidi ya Best Maridadi...

Tuesday, August 8, 2023

Posta Kilimanjaro yajadili mipango iliyotekeleza 2022-2023

Wafanyakazi wa Posta mkoa wa Kilimanjaro katika picha ya pamoja baada ya kujadili waliyoyafanya kwa mwaka 2022-2023Wafanyakazi wa Shirika la Posta Tanzania mkoa wa Kilimanjaro wamefanya kikao kwa ajili ya kujadili namna walivyotekeleza bajeti ya mwaka wa fedha uliopita 2022-2023...