Thursday, December 28, 2023
Thank God Daily
WitnessMzee MerinyoDiana 'Ndugu Mtangazaji'Anko Tununu 'The Tailor'
My life's attitude is simple: 'Make the best of what you have got. And
move to the next. Thank God for what is coming my way and enjoy it completely.'-
Abhinav Bindra
I'm just living daily and I thank...
Christine Kimaro apata Komunyo ya Kwanza
Christine A. Kimaro baada ya kupokea Komunyo ya kwanza katika Parokia Teule Jina Takatifu la Maria, Mnazi Mmoja-Moshi mkoani Kilimanjaro. Ekaristi Takatifu ni ishara ya Umoja na kifungo cha mapendo, karamu ya pasaka
ambamo waamini humpokea Kristo na roho hukazwa...
Monday, December 18, 2023
Uhamiaji Tanzania, Uhamiaji China zatiliana saini kuimarisha uhusiano wa kibiashara na ulinzi

Naibu Kamishna wa Jeshi la Uhamiaji la China (NIA) Li Junjie na mwenyeji wake Jenerali Kamishna wa Uhamiaji Tanzania Dkt. Anna Makakala wakionyesha hati za makubalino baada ya kusaini, kwenye hafla iliyofanyika katika Chuo cha Kikanda cha Uhamiaji (TRITA) Mosi mnamo...
Wednesday, December 13, 2023
Zahara is no more. Dies at age of 36

Bulelwa Mkutukana (9 Novemba 1987 - 11 Desemba 2023), anayejulikana kwa jina lake la kisanii Zahara, alikuwa mwimbaji wa Afrika Kusini, mtunzi wa nyimbo na mpiga gitaa. Muziki wake uliainishwa kama "Afro-soul", na aliimba kwa Kixhosa, lugha yake ya asili, na pia kwa Kiingereza.Baada...
Tuesday, December 12, 2023
Askofu Malasusa, Mhashamu Ludovick Minde wakutana
Mkuu wa Kanisa Mteule wa KKKT Askofu Alex Malasusa na Mhashamu Askofu Ludovick Minde wa Kanisa Katoliki wakiteta jambo katika siku ya maziko ya Askofu Mstaafu Erasto Kweka.Viongozi
wa dini wana ustawi wa jamii zao katika moyo. Viongozi wa dini wanahitaji
kufahamu mambo...
Saturday, December 9, 2023
MIAKA 62 YA UHURU WA TANGANYIKA: Juma Raibu atoa msaada Kituo cha Watoto Yatima Soweto-Moshi

Mstahiki Meya Mstaafu wa Manispaa ya Moshi Juma
Raibu ametoa msaada wa Hali na Mali katika Kituo cha Watoto waishio katika
mazingira duni na Yatima cha Upendo Foundation and Child Light.
JR ambaye ni diwani wa Bomambuzi ametoa msaada huo
ikiwa ni siku ya kuadhimisha miaka 62...