Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Thursday, December 28, 2023

Thank God Daily

WitnessMzee MerinyoDiana 'Ndugu Mtangazaji'Anko Tununu 'The Tailor' My life's attitude is simple: 'Make the best of what you have got. And move to the next. Thank God for what is coming my way and enjoy it completely.'- Abhinav Bindra I'm just living daily and I thank...

Christine Kimaro apata Komunyo ya Kwanza

Christine A. Kimaro baada ya kupokea Komunyo ya kwanza katika Parokia Teule  Jina Takatifu la Maria, Mnazi Mmoja-Moshi mkoani Kilimanjaro. Ekaristi Takatifu ni ishara ya Umoja na kifungo cha mapendo, karamu ya pasaka ambamo waamini humpokea Kristo na roho hukazwa...

Monday, December 18, 2023

Uhamiaji Tanzania, Uhamiaji China zatiliana saini kuimarisha uhusiano wa kibiashara na ulinzi

Naibu Kamishna wa Jeshi la Uhamiaji la China (NIA)  Li Junjie na mwenyeji wake Jenerali Kamishna wa Uhamiaji Tanzania Dkt. Anna Makakala wakionyesha hati za makubalino baada ya kusaini, kwenye hafla iliyofanyika katika Chuo cha Kikanda cha Uhamiaji (TRITA)  Mosi mnamo...

Wednesday, December 13, 2023

Zahara is no more. Dies at age of 36

 Bulelwa Mkutukana (9 Novemba 1987 - 11 Desemba 2023), anayejulikana kwa jina lake la kisanii Zahara, alikuwa mwimbaji wa Afrika Kusini, mtunzi wa nyimbo na mpiga gitaa. Muziki wake uliainishwa kama "Afro-soul", na aliimba kwa Kixhosa, lugha yake ya asili, na pia kwa Kiingereza.Baada...

Tuesday, December 12, 2023

Askofu Malasusa, Mhashamu Ludovick Minde wakutana

 Mkuu wa Kanisa Mteule wa KKKT Askofu Alex Malasusa na Mhashamu Askofu Ludovick Minde wa Kanisa Katoliki wakiteta jambo katika siku ya maziko ya Askofu Mstaafu Erasto Kweka.Viongozi wa dini wana ustawi wa jamii zao katika moyo. Viongozi wa dini wanahitaji kufahamu mambo...

Saturday, December 9, 2023

MIAKA 62 YA UHURU WA TANGANYIKA: Juma Raibu atoa msaada Kituo cha Watoto Yatima Soweto-Moshi

Mstahiki Meya Mstaafu wa Manispaa ya Moshi Juma Raibu ametoa msaada wa Hali na Mali katika Kituo cha Watoto waishio katika mazingira duni na Yatima cha Upendo Foundation and Child Light. JR ambaye ni diwani wa Bomambuzi ametoa msaada huo ikiwa ni siku ya kuadhimisha miaka 62...