Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Sunday, October 23, 2022

Watumishi Hospitali Kibong'oto wapatiwa chanjo Homa ya Ini

Hospitali Maalum ya Magonjwa Ambukizi Kibong’oto  imeanza kuchukua hatua za kuwalinda Watumishi wake dhidi ya magonjwa ambukizi kwa kuwapatia chanjo ya Homa ya Ini na kuwapima magonjwa mengine ambayo yanaweza kuhatarisha maisha yao wakiwa kazini. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi...

Sunday, October 9, 2022

Vijana washauriwa kujitolea kuwatunza wazee

Kaimu Meneja wa Posta Tanzania Mkoa wa Kilimanjaro Veronica Magoto (kulia) akimkabidi mhudumu wa afya kituo cha kulelea wazee Njoro Bi. Maria Hatari MassaweVijana wameshauriwa  kujitolea na kuwatunza wazee katika maeneo yao ili kupata ushauri na busara za wazee hao kwa...

Saturday, October 8, 2022

Chifu Marealle akabidhi madaraka, aonya matumizi ya fedha za UMT

Chifu Marealle (kushoto) akipokea zawadi ya kifimbo cha uchifu kutoka kwa Chifu Omary Mwariko 'Mhelamwana' walipokutana Marangu, Moshi mnamo mwezi Agosti 2022. (Picha: Maktaba)Mwenyekiti wa Umoja wa Machifu Tanzania (UMT) anayemaliza muda wake Chifu Frank Marealle ameonya kuhusu...