
Sunday, October 23, 2022
Watumishi Hospitali Kibong'oto wapatiwa chanjo Homa ya Ini

Hospitali Maalum ya Magonjwa Ambukizi Kibong’oto imeanza kuchukua hatua za kuwalinda Watumishi
wake dhidi ya magonjwa ambukizi kwa kuwapatia chanjo ya Homa ya Ini na kuwapima
magonjwa mengine ambayo yanaweza kuhatarisha maisha yao wakiwa kazini.
Hayo yameelezwa na Mkurugenzi...
Sunday, October 9, 2022
Vijana washauriwa kujitolea kuwatunza wazee
%20akimkabidi%20mhudumu%20wa%20afya%20kituo%20cha%20kulelea%20wazee%20Njoro%20Bi.%20Maria%20Hatari%20Massawe.jpg)
Kaimu Meneja wa Posta Tanzania Mkoa wa Kilimanjaro Veronica Magoto (kulia) akimkabidi mhudumu wa afya kituo cha kulelea wazee Njoro Bi. Maria Hatari MassaweVijana wameshauriwa kujitolea na kuwatunza wazee katika maeneo
yao ili kupata ushauri na busara za wazee hao kwa...
Saturday, October 8, 2022
Chifu Marealle akabidhi madaraka, aonya matumizi ya fedha za UMT

Chifu Marealle (kushoto) akipokea zawadi ya kifimbo cha uchifu kutoka kwa Chifu Omary Mwariko 'Mhelamwana' walipokutana Marangu, Moshi mnamo mwezi Agosti 2022. (Picha: Maktaba)Mwenyekiti
wa Umoja wa Machifu Tanzania (UMT) anayemaliza muda wake Chifu Frank Marealle
ameonya kuhusu...