Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Friday, January 8, 2021

Prof. Ndakidemi akabidhi mifuko 100 ya saruji Mabogini

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...

Wednesday, January 6, 2021

Baada ya Likizo, sasa Shule

 Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025 ukurasa wa 19 inasema, “Elimu ichukuliwe kama mkakati kwa kuweka mageuzi ya kifikra na kuunda taifalililoelimika  vizuri,  lenye  maarifa  ya  kutosha  yanayohitajika  katika  kutatua  kwaufanisi ...

Tuesday, January 5, 2021

Wateja heshimuni wanaowahudumia

  Ni kweli kuna msemo usemao, “Mteja kwetu ni Mfalme.” Na kibaya zaidi msemo huu umeonekana kuwabana zaidi watoa huduma kuliko wanaohudumiwa hata kama watafanya makosa kiasi gani. Wazungumzaji wazawa wa Kiswahili wa Zanzibar wana desturi zao katika kuitana. Kabla ya jina...

Monday, January 4, 2021

Louis Braille: Mwanzilishi wa Nukta Nundu

 Licha ya kwamba alifariki Januari 6, 1852  lakini Louis Braille ameacha nukta muhimu katika ulimwengu huu kwani akiwa katika masomo; alifanikiwa kugundua namna ya vipofu wanavyoweza kusoma kwa kile ambacho sasa kinafahamika kwa jina la maandishi ya nukta nundu. ...