
Friday, January 8, 2021
Prof. Ndakidemi akabidhi mifuko 100 ya saruji Mabogini

Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
MicrosoftInternetExplorer4
...
Wednesday, January 6, 2021
Baada ya Likizo, sasa Shule

Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025 ukurasa wa 19 inasema,
“Elimu ichukuliwe kama mkakati kwa kuweka mageuzi ya kifikra na kuunda
taifalililoelimika vizuri, lenye
maarifa ya kutosha
yanayohitajika katika kutatua
kwaufanisi ...
Tuesday, January 5, 2021
Wateja heshimuni wanaowahudumia

Ni kweli kuna msemo usemao, “Mteja kwetu ni Mfalme.” Na
kibaya zaidi msemo huu umeonekana kuwabana zaidi watoa huduma kuliko wanaohudumiwa
hata kama watafanya makosa kiasi gani.
Wazungumzaji wazawa wa Kiswahili wa Zanzibar wana
desturi zao katika kuitana. Kabla ya jina...
Monday, January 4, 2021
Louis Braille: Mwanzilishi wa Nukta Nundu

Licha ya kwamba alifariki Januari 6, 1852 lakini Louis Braille ameacha nukta muhimu katika
ulimwengu huu kwani akiwa katika masomo; alifanikiwa kugundua namna ya vipofu
wanavyoweza kusoma kwa kile ambacho sasa kinafahamika kwa jina la maandishi ya
nukta nundu.
...