Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Monday, July 9, 2018

Meno ya Tembo yawapandisha Mahakamani

Polisi Jamii wawili na dereva mmoja wakazi wa Mbezi Luis jijini Dar es Salaam, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu tuhuma za uhujumu uchumi kwa kukutwa na meno ya tembo yenye thamani ya Sh. milioni 239.5. Akisoma hati ya mashtaka wakili wa Serikali,...

Monday, July 2, 2018

Andres Manuel Lopez Obrador: Rais mpya wa Mexico, Trump ampongeza

Mgombea wa siasa za mrengo wa kushoto nchini Mexico, Andres Manuel Lopez Obrador amepata ushindi mkubwa baada ya kuchaguliwa kuwa rais kwa asilimia 53 ya kura, tume ya uchaguzi imearifu. Rais wa Mexico Andres Manuel Lopez Obrador Matokeo hayo ya awali yamezingatia idadi...

Croatia yatinga robo fainali, Schmeichel atisha

Croatia imetinga robo fainali ya Michuano ya Kombe la Dunia dhidi ya Denmark katika mchezo uliochezwa Nizhny Novgorod nchini Russia kwa changamoto ya mikwaju ya penati 3-2. Timu ya Taifa ya Croatia wakishangilia baada ya kuizabua Denmark kwa mikwaju ya penati 3-2, katika...

Mtoto wa miaka 8 kujiunga Chuo Kikuu Ubelgiji

Mtoto anayefahamika kwa jina la Laurent Simons (8) anatarajiwa kujiunga na masomo ya Chuo Kikuu nchini Ubelgiji baada ya kumaliza masomo ya sekondari kwa muda wa mwaka mmoja na nusu. Laurent Simons Simons ambaye wazazi wake ni kutoka nchini Uholanzi alipata diploma yake...