
Monday, July 9, 2018
Meno ya Tembo yawapandisha Mahakamani

Polisi
Jamii wawili na dereva mmoja wakazi wa Mbezi Luis jijini Dar es Salaam,
wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu tuhuma za uhujumu
uchumi kwa kukutwa na meno ya tembo yenye thamani ya Sh. milioni 239.5.
Akisoma hati
ya mashtaka wakili wa Serikali,...
Monday, July 2, 2018
Andres Manuel Lopez Obrador: Rais mpya wa Mexico, Trump ampongeza

Mgombea wa siasa za mrengo wa kushoto nchini Mexico, Andres Manuel Lopez Obrador amepata ushindi mkubwa baada ya kuchaguliwa kuwa rais kwa asilimia 53 ya kura, tume ya uchaguzi imearifu.
Rais wa Mexico Andres Manuel Lopez Obrador
Matokeo hayo ya awali yamezingatia idadi...
Croatia yatinga robo fainali, Schmeichel atisha

Croatia imetinga robo fainali ya Michuano ya Kombe la Dunia dhidi ya Denmark katika mchezo uliochezwa Nizhny Novgorod nchini Russia kwa changamoto ya mikwaju ya penati 3-2.
Timu ya Taifa ya Croatia wakishangilia baada ya kuizabua Denmark kwa mikwaju ya penati 3-2, katika...
Mtoto wa miaka 8 kujiunga Chuo Kikuu Ubelgiji

Mtoto anayefahamika kwa jina la Laurent Simons (8) anatarajiwa kujiunga na masomo ya Chuo Kikuu nchini Ubelgiji baada ya kumaliza masomo ya sekondari kwa muda wa mwaka mmoja na nusu.
Laurent Simons
Simons ambaye wazazi wake ni kutoka nchini Uholanzi alipata diploma yake...