Monday, July 31, 2017
Taxi mbili zagongana Mango Garden, Dar
Taxi mbili zimegongana
katika ajali mapema Julai 30 mwaka huu kwa kile kinachodaiwa uzembe wa madereva
wa vyombo hivyo vya usafiri. Katika tukio hilo
hakuna aliyepoteza maisha isipokuwa uharibifu wa magari hayo. Mashuhuda wa
tukio hilo
walisema madereva walikuwa wamelewa pombe.
TAZAMA...
Monday, July 24, 2017
Kagame kusalia madarakani hadi 2034?

Wakati
Rwanda ikiwa katika hatua za
mwisho kuelekea uchaguzi mkuu
utakaofanyika Agosti 4, mwaka huu kama
hakutakua na jambo lolote lingine litakalojitokeza basi ni dhahiri kuwa
Rais wa nchi hiyo Paul Kagame atashinda.
Paul Kagame
Hali
inaonesha kuwa upinzani...
Thursday, July 20, 2017
Watangazaji wa Kiss FM Dar es Salaam
Watangazaji wa Kiss FM studio za Dar es Salaam wakiwa katika kikao Julai 20, 2017
Kikao cha watangazaji
na wanahabari wa Kiss FM wamekutana katika kikao cha pamoja kujadili masuala
kadha wa kadha kuhusu programu mbalimbali Morning Kiss, Kiss Drive Time na Kiss
Most Wanted.
Watangazaji...
Tuesday, July 18, 2017
Shahidi wa nane kesi ya Scorpion ‘afunguka’
Mahakamani-Ilala-Dar es
Salaam-Julai 18, 2017 Mshtakiwa Salum Njwete 'Scorpion' akiwa chini ya ulinzi
mkali katika mahakama ya Wilaya ya Ilala
baada ya shahidi wa nane kutoa ushahidi wake kuhusu mashtaka yanayomkabili.
Shahidi wa nane wa
kesi ya Salum Njwete maarufu...
Wednesday, July 12, 2017
Yousafzai Malala ni nani?

Yousafzai Malala
Malala
Yousafzai ni mwanaharakati wa nchini Pakistan katika masuala ya elimu na
mshindi wa tuzo ya Nobel aliyepata akiwa na umri mdogo.
Anafahamika kwa
harakati zake za uwakili wa haki za binadamu hususani katika masuala ya elimu
kwa wanawake kwa...
Tuesday, July 11, 2017
Stella Joseph ni nani?
Keki ya Stella Joseph ya kutimiza miaka 23
Stella Joseph (katikati), Grace (kushoto) na Abeid (kulia).
Seda (katikati), Grace (kushoto) na Stella (kulia)
Stella akimlisha keki dada yake kipenzi Seda, Abeid akishuhudia tukio hilo
Stella na Seda waliamua kuwaliza...