Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Monday, July 31, 2017

Taxi mbili zagongana Mango Garden, Dar

Taxi mbili zimegongana katika ajali mapema Julai 30 mwaka huu kwa kile kinachodaiwa uzembe wa madereva wa vyombo hivyo vya usafiri. Katika tukio hilo hakuna aliyepoteza maisha isipokuwa uharibifu wa magari hayo. Mashuhuda wa tukio hilo walisema madereva walikuwa wamelewa pombe. TAZAMA...

Monday, July 24, 2017

Kagame kusalia madarakani hadi 2034?

Wakati Rwanda ikiwa katika hatua za mwisho  kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Agosti 4, mwaka huu kama hakutakua na jambo lolote lingine litakalojitokeza basi ni dhahiri kuwa Rais  wa nchi hiyo Paul Kagame atashinda. Paul Kagame Hali  inaonesha kuwa upinzani...

Thursday, July 20, 2017

Watangazaji wa Kiss FM Dar es Salaam

Watangazaji wa Kiss FM studio za Dar es Salaam wakiwa katika kikao Julai 20, 2017 Kikao cha watangazaji na wanahabari wa Kiss FM wamekutana katika kikao cha pamoja kujadili masuala kadha wa kadha kuhusu programu mbalimbali Morning Kiss, Kiss Drive Time na Kiss Most Wanted. Watangazaji...

Tuesday, July 18, 2017

Shahidi wa nane kesi ya Scorpion ‘afunguka’

Mahakamani-Ilala-Dar es Salaam-Julai 18, 2017 Mshtakiwa Salum Njwete 'Scorpion' akiwa chini ya ulinzi mkali katika  mahakama ya Wilaya ya Ilala baada ya shahidi wa nane kutoa ushahidi wake kuhusu mashtaka yanayomkabili. Shahidi wa nane wa kesi ya Salum Njwete maarufu...

Wednesday, July 12, 2017

Yousafzai Malala ni nani?

Yousafzai Malala Malala Yousafzai ni mwanaharakati wa nchini Pakistan katika masuala ya elimu na mshindi wa tuzo ya Nobel aliyepata akiwa na umri mdogo.  Anafahamika kwa harakati zake za uwakili wa haki za binadamu hususani katika masuala ya elimu kwa wanawake kwa...

Tuesday, July 11, 2017

Stella Joseph ni nani?

Keki ya Stella Joseph ya kutimiza miaka 23 Stella Joseph (katikati), Grace (kushoto) na Abeid (kulia). Seda (katikati), Grace (kushoto) na Stella (kulia) Stella akimlisha keki dada yake kipenzi Seda, Abeid akishuhudia tukio hilo Stella na Seda waliamua kuwaliza...