Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Monday, May 19, 2025

KESI YA TUNDU LISSU: Bashasha, Nderemo, Vifijo vyatawala Mahakama ya Kisutu

 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu muda mchache kabla ya kesi kuanza mnamo tarehe 19 Mei 2025 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini  Dar es Salaam. (Picha na; MTANDAO)Bashasha, nderemo, na vifijo vimedhihirika kwa maelfu...

Sunday, May 18, 2025

Papa Leo XIV achagua kuishi Vatican Apostolic Palace, aikacha Santa Marta Motel

Baada ya kuchaguliwa kuliongoza Kanisa Katoliki duniani Papa Leo XIV ameanza rasmi kuishi katika nyumba ya kipapa iliyopo Vatican. Wengi walikuwa na maswali kuhusu suala hilo kama atafuata nyayo za mtangulizi wake Papa Francis aliyekuwa akiishi pasipo anasa katika Nyumba za...

Saturday, May 10, 2025

Ifahamu Historia ya Mwanaharakati wa Tanzania; Mdude Nyagali

Mdude NyagaliDoB: 25 Agosti 1987PoB: Isongole, IlejeKatika historia ya mataifa mbalimbali duniani, huwa kuna watu wanaojitokeza kama mashujaa wa fikra mbadala, wakijitoa kwa ajili ya kuhimiza haki, uwajibikaji, na demokrasia. Nchini Tanzania, jina la Mdude Nyagali, maarufu kama...