
Sunday, November 24, 2024
Wananchi watakiwa kutunza mazao ya chakula kukabiliana na mabadi

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro Dankan Urasa.Wananchi wametakiwa kutunza mazao ya chakula waliozalisha na kuweka akiba ili kukabiliana na changamoto ya upungufu wa chakula inayotokana na mabadiliko ya tabianchi.Akizungumza katika kikao...
Thursday, November 14, 2024
Mwanaume ajinyonga Pasua, Moshi; Uchunguzi unaendelea
Mwili wa Marehemu Hassan Ali ukiwa chini kabla ya kuondolewa na Jeshi la Polisi Tanzania mnamo Novemba 14, 2024 katika eneo la Nelson Mandela, Pasua mjini Moshi. Mwanaume anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 40 amefariki
dunia kwa kujinyonga katika mti eneo la Nelson Mandela...
Monday, November 11, 2024
KADCO, APM lawamani manunuzi ye jenereta mbili, Takukuru yaokoa Mil. 329

Sintofahamu ya ununuzi wa majenereta
katika Kampuni ya Uendeshaji na Uendelezwaji wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa
cha Kilimanjaro (KADCO), imetatuliwa baada ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na
Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kilimanjaro kusimamisha ulipaji wa malipo ya
jenereta.
Kadco...
Monday, November 4, 2024
Al Mahboob a.k.a ya Dkt. Hassan Abbas
By JAIZMELANovember 04, 2024AFRIKA, BURUDANI, KIMATAIFA, KIONJO, KITAIFA, MAKALA, MAKALA NA SIMULIZINo comments

Dkt. Hassan Abbas au
Dkt. Hassan Abbas Mahboob?
A.K.A, au "Also Known As," ni jina linalotumika
mara nyingi kuelezea majina au mitindo mingine ambayo mtu anaweza kuwa nayo.
Katika muktadha wa historia ya falsafa, "A.K.A" inaweza kutumika
kuashiria mtu au wazo lililo na...
Sunday, November 3, 2024
Shujaaz yatinga vijijini kuwahamasisha vijana wa kike kujihusisha kwenye Kilimo na Ufugaji

Kuna sababu kadhaa ambazo zinaweza kuchangia vijana wa kike wasijihusishe sana na kilimo na ufugaji; Miongoni mwa hizo mitazamo kwa baadhi ya jamii kwamba kazi za kilimo na ufugaji ni za kiume, Ukosefu wa upatikanaji wa Rasilimali; Elimu ya kutosha kuhusu faida za kilimo na...