Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Sunday, November 24, 2024

Wananchi watakiwa kutunza mazao ya chakula kukabiliana na mabadi

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro Dankan Urasa.Wananchi wametakiwa kutunza mazao ya chakula waliozalisha na  kuweka akiba ili kukabiliana na changamoto ya upungufu wa chakula inayotokana na mabadiliko ya tabianchi.Akizungumza katika  kikao...

Thursday, November 14, 2024

Mwanaume ajinyonga Pasua, Moshi; Uchunguzi unaendelea

Mwili wa Marehemu Hassan Ali ukiwa chini kabla ya kuondolewa na Jeshi la Polisi Tanzania mnamo Novemba 14, 2024 katika eneo la Nelson Mandela, Pasua mjini Moshi. Mwanaume anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 40 amefariki dunia kwa kujinyonga katika mti eneo la Nelson Mandela...

Monday, November 11, 2024

KADCO, APM lawamani manunuzi ye jenereta mbili, Takukuru yaokoa Mil. 329

 Sintofahamu ya ununuzi wa majenereta katika Kampuni ya Uendeshaji na Uendelezwaji wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro (KADCO), imetatuliwa baada ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kilimanjaro kusimamisha ulipaji wa malipo ya jenereta. Kadco...

Monday, November 4, 2024

Al Mahboob a.k.a ya Dkt. Hassan Abbas

 Dkt. Hassan Abbas au Dkt. Hassan Abbas Mahboob? A.K.A, au "Also Known As," ni jina linalotumika mara nyingi kuelezea majina au mitindo mingine ambayo mtu anaweza kuwa nayo. Katika muktadha wa historia ya falsafa, "A.K.A" inaweza kutumika kuashiria mtu au wazo lililo na...

Sunday, November 3, 2024

Shujaaz yatinga vijijini kuwahamasisha vijana wa kike kujihusisha kwenye Kilimo na Ufugaji

Kuna sababu kadhaa ambazo zinaweza kuchangia vijana wa kike wasijihusishe sana na kilimo na ufugaji; Miongoni mwa hizo mitazamo kwa baadhi ya jamii kwamba kazi za kilimo na ufugaji ni za kiume, Ukosefu wa upatikanaji wa Rasilimali; Elimu ya kutosha kuhusu faida za kilimo na...