Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Wednesday, December 21, 2022

Namna timu ya Taifa Morocco ilivyopokelewa mjini Rabat

Timu ya Taifa ya Morocco iliiweka Afrika katika ramani ya Dunia baada ya kushika nafasi ya tatu katika Kombe la Dunia 2022, ikitolewa na Ufaransa. Hata hivyo iliambulia nafasi ya nne, ikizidiwa na Croatia iliyoshika nafasi ya ta...

Conte amtaka Romero ndani ya saa 72 jijini London

Baba wa nyota wa Tottenham na timu ya taifa ya Argentina Victor Romero ameweka bayana kuwa kocha wa Spurs AntonioConte amemtaka nyota wake Cristian Romero kurudi London ndani ya saa 72 baada ya kusherekea ushindi wa Kombe la Dunia alilolitwaa  mnamo Desemba 18,2022. Romero...

Tuesday, December 20, 2022

MAKTABA YA JAIZMELA: Ifahamu Christmas

 Tunaposema MERRY CHRISTMAS Maana yake ni FURAHA YA KUSANYIKO LA WAKRISTO. Kwa hiyo hakuna mahusiano baina ya Christmas na kuzaliwa kwake Yesu Kristo Desemba 25. katika hili wala tusimung'unye maneno. Nyakati zile Dola ya Rumi ilipokuwa ikitawala dunia walikuwa wana miungu...

KDF yarahisisha mawasiliano Jeshi la Polisi

ACP Simon Maigwa Mwishoni mwa miaka ya 1970, mjasiriamali na mgunduzi wa mfumo wa simu za kiganjani nchini Marekani Martin Cooper alisema, “Tulijua kuwa watu hawapendi kuzungumza ndani ya magari, au  nyumba; au maofisini wanataka kuzungumza na watu wengine…Tulichokuwa...