
Wednesday, December 21, 2022
Namna timu ya Taifa Morocco ilivyopokelewa mjini Rabat

Timu ya Taifa ya
Morocco iliiweka Afrika katika ramani ya Dunia baada ya kushika nafasi ya tatu
katika Kombe la Dunia 2022, ikitolewa na Ufaransa.
Hata hivyo
iliambulia nafasi ya nne, ikizidiwa na Croatia iliyoshika nafasi ya ta...
Conte amtaka Romero ndani ya saa 72 jijini London

Baba wa nyota wa
Tottenham na timu ya taifa ya Argentina Victor Romero ameweka bayana kuwa kocha
wa Spurs AntonioConte amemtaka nyota wake Cristian Romero kurudi London ndani
ya saa 72 baada ya kusherekea ushindi wa Kombe la Dunia alilolitwaa mnamo Desemba 18,2022.
Romero...
Tuesday, December 20, 2022
MAKTABA YA JAIZMELA: Ifahamu Christmas

Tunaposema
MERRY CHRISTMAS Maana yake ni FURAHA YA KUSANYIKO LA WAKRISTO.
Kwa hiyo
hakuna mahusiano baina ya Christmas na kuzaliwa kwake Yesu Kristo Desemba 25.
katika hili wala tusimung'unye maneno.
Nyakati
zile Dola ya Rumi ilipokuwa ikitawala dunia walikuwa wana miungu...
KDF yarahisisha mawasiliano Jeshi la Polisi
ACP Simon Maigwa Mwishoni mwa miaka ya
1970, mjasiriamali na mgunduzi wa mfumo wa simu za kiganjani nchini Marekani
Martin Cooper alisema, “Tulijua kuwa watu hawapendi kuzungumza ndani ya magari,
au nyumba; au maofisini wanataka kuzungumza
na watu wengine…Tulichokuwa...