
Monday, February 25, 2019
Rami Malek aweka rekodi ya kwanza Tuzo za Oscars 2019

Rami Malek anakuwa mtu wa kwanza mwenye asili ya Uarabuni na
Marekani kushinda tuzo ya Oscar 2019 katika kategori ya Mwigizaji Bora. Tuzo Hizo
za 91 zilifanyika katika ukumbi wa Dolby Theatre,Hollywood, jijini Los Angeles nchini
Marekani.
“Green Book won three awards, including...
Sunday, February 3, 2019
RON W. DAVIS: Alivyopigiwa simu kutoka Tanzania-4
Makala yaliyopita tuliangazia namna kocha Ron Davis
alivyoamka asubuhi mjini Edmonton na ndoto ya maisha yake kubadilika pale
alipokutana na mwanariadha wa kwanza aliyeipa medali ya kwanza Tanzania Filbert
Bayi na baadaye kocha Sulus.
Tukio hilo lilitokea mwaka 1978...
Qatar yatwaa Kombe la Mataifa ya Asia 2019

Inaweza ikawa ngumu kuamini
kilichotokea jijini Abu Dhabi katika mchezo wa fainali ya mataifa ya bara la Asia
lakini ndivyo hali ilivyo pale miamba ya soka ya Asia Japan ilipoangushwa na
Qatar kwenye mchezo ulichezwa kwenye dimba la Mohammed Zayed.
Japan iilishindwa
kutwaa...