Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Monday, February 25, 2019

Rami Malek aweka rekodi ya kwanza Tuzo za Oscars 2019

Rami Malek anakuwa mtu wa kwanza mwenye asili ya Uarabuni na Marekani kushinda tuzo ya Oscar 2019 katika kategori ya Mwigizaji Bora. Tuzo Hizo za 91 zilifanyika katika ukumbi wa Dolby Theatre,Hollywood, jijini Los Angeles nchini Marekani. “Green Book won three awards, including...

Sunday, February 3, 2019

RON W. DAVIS: Alivyopigiwa simu kutoka Tanzania-4

Makala yaliyopita tuliangazia namna kocha Ron Davis alivyoamka asubuhi mjini Edmonton na ndoto ya maisha yake kubadilika pale alipokutana na mwanariadha wa kwanza aliyeipa medali ya kwanza Tanzania Filbert Bayi na baadaye kocha Sulus. Tukio hilo lilitokea mwaka 1978...

Qatar yatwaa Kombe la Mataifa ya Asia 2019

Inaweza ikawa ngumu kuamini kilichotokea jijini Abu Dhabi katika mchezo wa fainali ya mataifa ya bara la Asia lakini ndivyo hali ilivyo pale miamba ya soka ya Asia Japan ilipoangushwa na Qatar kwenye mchezo ulichezwa kwenye dimba la Mohammed Zayed. Japan iilishindwa kutwaa...