
Wednesday, December 28, 2016
Dk. Guydon Makulila na salamu za Mwaka Mpya 2017

ZIMEBAKI siku chache kumaliza majuma 52 ya mwaka 2016. Katika mwaka huu kuna mengi yametokea ya kuudhi,
kuhuzunisha na kufurahisha. Licha ya changamoto zote bado kuna baadhi ya watu
wamekuwa wakitambua kuwa hayo yote ni maisha.
Dk. Guydon Makulila
Kwani maisha ni
mchanganyiko...
Thursday, December 22, 2016
Happy Birthday Brayan Kuzenza
NA MWANDISHI WETU
Brayan Kuzenza
Brian Kuzenza amesheherekea miaka mitatu (3) ya kuzaliwa kwake.
Hafla hiyo ilifanyika katika nyumba ya bibi yake Magdalene Mdai katika kitongoji cha Mpakani, Kibondeni-Mbagala jijini Dar es Salaam. Ndugu, jamaa, marafiki walihudhuria...
Tuesday, December 20, 2016
‘Rushwa ya ngono sasa basi’
NA JEMAH MAKAMBA
Afisa Maendeleo ya Jamii wa wilaya ya Chalinze Anthony Nyange (aliyesimama) akizungumza katika semina hiyo
JAMII imetakiwa kuungana na
taasisi zisizo za kiserikali katika vita dhidi ya rushwa ya ngono katika maeneo
ya kazi ili kuiweka nchi katika nafasi...