Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Wednesday, December 28, 2016

Dk. Guydon Makulila na salamu za Mwaka Mpya 2017

ZIMEBAKI siku chache kumaliza majuma 52 ya mwaka 2016. Katika mwaka huu kuna mengi yametokea ya kuudhi, kuhuzunisha na kufurahisha. Licha ya changamoto zote bado kuna baadhi ya watu wamekuwa wakitambua kuwa hayo yote ni maisha. Dk. Guydon Makulila Kwani maisha ni mchanganyiko...

Thursday, December 22, 2016

Happy Birthday Brayan Kuzenza

NA MWANDISHI WETU Brayan Kuzenza  Brian Kuzenza amesheherekea miaka mitatu (3) ya kuzaliwa kwake. Hafla hiyo ilifanyika katika nyumba ya bibi yake Magdalene Mdai katika kitongoji cha Mpakani, Kibondeni-Mbagala jijini Dar es Salaam. Ndugu, jamaa, marafiki walihudhuria...

Tuesday, December 20, 2016

‘Rushwa ya ngono sasa basi’

NA JEMAH MAKAMBA Afisa Maendeleo ya Jamii wa wilaya ya Chalinze Anthony Nyange (aliyesimama) akizungumza katika semina hiyo JAMII imetakiwa kuungana na taasisi zisizo za kiserikali katika vita dhidi ya rushwa ya ngono katika maeneo ya kazi ili kuiweka nchi katika nafasi...