
Tuesday, September 13, 2022
JAMES MMANDA: Milioni 70 zilivyofuta ndoto zake baada ya kukatwa miguu-1

Hiki ni kisa cha kweli kilichomkuta kijana
James mkazi wa mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro…Nani alimsaliti kijana huyu
mwenye umri wa miaka 37 afike hapo alipofikia? ANKO TUNUNU anaanza katika
sehemu ya kwanza ya makala haya…
Tulipokuwa shuleni tulikuwa tukifundishwa
methali,...
Uhuru Kenyatta akabidhi madaraka kwa Ruto, sherehe zafana Kasarani

Rais wa nne
wa Kenya Uhuru Kenyatta amekabidhi madaraka kwa amani kwa Rais wa Tano wa taifa
hilo William Ruto katika tukio lililofanyika katika Uwanja wa Moi-Kasarani
jijini Nairobi.
Rais Ruto
ameapa kuitumikia Jamhuri ya Kenya kwa moyo mkunjufu na uaminifu mkubwa pasipo
kuwa...