Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Friday, April 30, 2021

Anusurika kichapo kwa kujifanya mjamzito akiiba sokoni Memorial, Moshi

 KUNA methali moja ya Kiswahili isemayo, “Hakuna anayemshinda mwanaume kama mwanamke,” hii imedhihirika katika soko la Memorial mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro hivi karibuni kwa mwanamke ambaye alifahamika kwa jina moja la Elizabeth kunusurika kichapo kutoka kwa wafanyabiashara...