Thursday, August 12, 2021
Chifu Mwariko ataka chanjo ya Uviko-19 iende kwa wanyamapori
Chifu
Athumani Omary Mwariko 'Mhelamwana'Chifu
Athumani Omary Mwariko 'Mhelamwana' ameishauri serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
kuangalia upya namna ambavyo wanaweza kupambana na janga la Covid-19 kwa
wanyamapori ili kuzuia maambukizi mapya ya virusi hivyo.
Hayo
yanajiri...
Kanuni ya Cashflow Quadrant: Kwanini wazazi wanataka watoto wasomee Sayansi, Hesabu na Sheria

Kanuni ya
Cashflow Quadrant,
Cashflow
Quadrant hii ni kanuni ya kuwapanga watu kutokana na namna wanavyopata pesa au
kwa kifupi umepata pesa kutokana na mfumo upi. Kulingana na Robert Kiyosaki
mwanzilishi wa kanuni hiyo anawapanga watu katika makundi manne kwa alama nne
E,...