Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Thursday, August 12, 2021

Chifu Mwariko ataka chanjo ya Uviko-19 iende kwa wanyamapori

Chifu Athumani Omary Mwariko 'Mhelamwana'Chifu Athumani Omary Mwariko 'Mhelamwana' ameishauri serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuangalia upya namna ambavyo wanaweza kupambana na janga la Covid-19 kwa wanyamapori ili kuzuia maambukizi mapya ya virusi hivyo. Hayo yanajiri...

Kanuni ya Cashflow Quadrant: Kwanini wazazi wanataka watoto wasomee Sayansi, Hesabu na Sheria

 Kanuni ya Cashflow Quadrant, Cashflow Quadrant hii ni kanuni ya kuwapanga watu kutokana na namna wanavyopata pesa au kwa kifupi umepata pesa kutokana na mfumo upi. Kulingana na Robert Kiyosaki mwanzilishi wa kanuni hiyo anawapanga watu katika makundi manne kwa alama nne E,...

Monday, August 2, 2021