Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Monday, September 18, 2017

'Team Work' ni kila kitu katika mafanikio

Unapokuwa unafanya kazi mahali popote pale duniani, ni vema kuwa na kile kinachofahamika ‘Nguvu ya Pamoja’. Nguvu ya Pamoja haiwezi kuja pasipokuwa na marafiki na wafanyakazi wazuri wanaojitambua. Ndivyo ilivyo kwa wafanyakazi hawa wa Mpakasi ambao wanaamini katika nguvu hiyo...