Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Sunday, November 20, 2016

Guninita atoa rai Chadema

NA MWANDISHI WETU John Guninita  MAKATIBU wa Wilaya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wametakiwa kujenga utaratibu wa kuwaita makatibu wakuu wa kata katika wilaya zao na kuwapa taarifa za mapato na matumizi ili kurahisisha utendaji wa chama bila manung’uniko. Katika...