Sunday, November 20, 2016
Guninita atoa rai Chadema
NA
MWANDISHI WETU
John Guninita
MAKATIBU wa Wilaya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wametakiwa kujenga utaratibu wa kuwaita makatibu wakuu wa kata katika wilaya zao na kuwapa taarifa za mapato na matumizi ili kurahisisha utendaji wa chama bila manung’uniko.
Katika...