
Tuesday, June 3, 2025
Sakata la Askofu Gwajima

Jeshi la Polisi limezua gumzo usiku wa kuamkia leo baada ya kulizingira Kanisa la Ufufuo na Uzima, linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima, wakati wa ibada ya maombi ya usiku maarufu kama mkesha.Tukio hilo lililotokea majira ya saa nne za usiku, wa tarehe 2 Juni 2025...