Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Tuesday, June 3, 2025

Sakata la Askofu Gwajima

 Jeshi la Polisi limezua gumzo usiku wa kuamkia leo baada ya kulizingira Kanisa la Ufufuo na Uzima, linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima, wakati wa ibada ya maombi ya usiku maarufu kama mkesha.Tukio hilo lililotokea majira ya saa nne za usiku, wa tarehe 2 Juni 2025...