Sunday, August 9, 2020
Wachaga kumpa tuzo ya heshima Magufuli
✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨Viongozi wa kimila mkoani Kilimanjaro wameanza mchakato wa
kumpa tuzo maalum ya heshima Rais wa awamu ya tano Dkt. John Pombe
Magufuli kwa kazi alizozifanya katika
kipindi cha miaka mitano ndani ya uongozi wake.
Akizungumza hivi karibuni na...