Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Sunday, August 9, 2020

Wachaga kumpa tuzo ya heshima Magufuli

 ✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨Viongozi wa kimila mkoani Kilimanjaro wameanza mchakato wa kumpa tuzo maalum ya heshima Rais wa awamu ya tano Dkt. John Pombe Magufuli  kwa kazi alizozifanya katika kipindi cha miaka mitano ndani ya uongozi wake. Akizungumza hivi karibuni na...